Nimepitia magazeti mengi ya Leo na mengi yaliyoandika juu ya uteuzi Wa mabalozi yanaonesha kuwa uteuzi huo ni Wa kimkakati hasa ukilenga kuwapunguza nguvu kisiasa au kuwaua kabisa baadhi ya wanasiasa akiwemo Dr Chimbi. cha kushangaza zaidi hata wanaccm wenyewe wanashangilia Nchimbi kupewa ubalozi eti kapotezwa kisiasa ukizingatia jamaa alikuwa mpiganaji na alisimamia kile anachokiamini na ndio maana ndani ya ccm hakupendwa.
Nchimbi kama bado ana ndoto za kuendelea na siasa inabidi hapa apaone vinginevyo kapatikana kweli kama wasemavyo wanalumumba
Nchimbi kama bado ana ndoto za kuendelea na siasa inabidi hapa apaone vinginevyo kapatikana kweli kama wasemavyo wanalumumba