Tarehe ya kuzaliwa
Member
- Sep 5, 2019
- 89
- 73
Point ipo hapaKwasababu mnaingia kwenye maagano msiojua maana yake.
Hii ni sababu kubwa sana, hasa Kwa wanawake, wengi wanaolewa na watu wasiowapenda, mwanamke akipenda uwezekano wa kucheating unapungua sana.'Kwasababu tunajilazimisha kuingia ndoani na wapenzi wa watu wengine'..!!
Siyo kupungua mkuu, uwezekano unakuwa haupo kabisa!! Mimi mwenyewe shahidi katika hili, Nili date mkaka nampendaa!! Yaani Ilikuwa hata nitongozwe natamani hata nimsemee! Yule kaka picha yake Ilikuwa ndo wallpaper, profile mpaka screensaver kwenye simu yangu.!! Haya mambo hayana fundi...Hii ni sababu kubwa sana, hasa Kwa wanawake, wengi wanaolewa na watu wasiowapenda, mwanamke akipenda uwezekano wa kucheating unapungua sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]'Kwasababu tunajilazimisha kuingia ndoani na wapenzi wa watu wengine'..!!
No 5 imekaa vizuri,mume anarudi nyumbani kauzu,mambo yake hayaendi,mke anadhani huyu katoka kwa mchepuko ndio maana hamjali,nae anawatafuta kina marioo!1. Wanaume hawajui wajibu wao ktk ndoa
2. Wanawake hawajui wajibu wao ktk ndoa
3. Jamii ya inayotuzunguka haitupi malezi ya kuishi ndoani
4.Utandawazi
5.CCM