Sawa mwana-jf....kimsingi kama kijana na mwana jf nakupa big-up kwani umefanya la maana;lakini unawezaje kutumia fursa hiyo kwa kuwasaidia vijana wa kitz na hasa ktk kuwaonyesha fursa za huko na huku ukiwachaji kiasi kidogo....nayasema hayo kutokana na baadhi ya watanzania kuwa nakasumba ya kudai fedha nyingi kama takrima....je,kwa upande wako ikoje?
Mimi ni Mtanzania ninayeishi China. Mji wa Guangzhou,nimeishi hapa kwa muda wa miaka mitatu(3). Nina uwezo wa kuzungumza Kichina,Kiingereza na Kiswahili. Pia ninafahamu masoko mengi yenye bidhaa zinazouzwa Tanzania. Ninapokea order mbalimbali kutoka Tanzania kama:
1. Mobile Accessories
2. Stationary Equipments
3. Business Card and T.shirt Printing
4. Fashionable Clothing
5. Classic Men and Women Watches
6. Quality Mobile Phones such as;
-Samsung
-Htc
-iPhone
-Blackberry
-Nokia
-Sony
And all kind of Electronic Products,pia ninatoa huduma ya kutafsiri Lugha ya Kichina na Kutoa barua za mwaliko kwa wale wanaotaka kuja China.
Mobile No: +8613143366650
Email: charlzmallya@gmail.com
Add: Guangzhou, China
mkuu namba 3 ni pm bei please na picha.mimi ni mtanzania ninayeishi china. Mji wa guangzhou,nimeishi hapa kwa muda wa miaka mitatu(3). Nina uwezo wa kuzungumza kichina,kiingereza na kiswahili. Pia ninafahamu masoko mengi yenye bidhaa zinazouzwa tanzania. Ninapokea order mbalimbali kutoka tanzania kama:
1. Mobile accessories
2. Stationary equipments
3. Business card and t.shirt printing
4. Fashionable clothing
5. Classic men and women watches
6. Quality mobile phones such as;
-samsung
-htc
-iphone
-blackberry
-nokia
-sony
and all kind of electronic products,pia ninatoa huduma ya kutafsiri lugha ya kichina na kutoa barua za mwaliko kwa wale wanaotaka kuja china.
Mobile no: +8613143366650
email: charlzmallya@gmail.com
add: Guangzhou, china
Mimi ni Mtanzania ninayeishi China. Mji wa Guangzhou,nimeishi hapa kwa muda wa miaka mitatu(3). Nina uwezo wa kuzungumza Kichina,Kiingereza na Kiswahili. Pia ninafahamu masoko mengi yenye bidhaa zinazouzwa Tanzania. Ninapokea orde
r mbalimbali kutoka Tanzania kama:
1. Mobile Accessories
2. Stationary Equipments
3. Business Card and T.shirt Printing
4. Fashionable Clothing
5. Classic Men and Women Watches
6. Quality Mobile Phones such as;
-Samsung
-Htc
-iPhone
-Blackberry
-Nokia
-Sony
And all kind of Electronic Products,pia ninatoa huduma ya kutafsiri Lugha ya Kichina na Kutoa barua za mwaliko kwa wale wanaotaka kuja China.
Mobile No: +8613143366650
Email: charlzmallya@gmail.com
Add: Guangzhou, China
Mimi ni Mtanzania ninayeishi China. Mji wa Guangzhou,nimeishi hapa kwa muda wa miaka mitatu(3). Nina uwezo wa kuzungumza Kichina,Kiingereza na Kiswahili. Pia ninafahamu masoko mengi yenye bidhaa zinazouzwa Tanzania. Ninapokea order mbalimbali kutoka Tanzania kama:
1. Mobile Accessories
2. Stationary Equipments
3. Business Card and T.shirt Printing
4. Fashionable Clothing
5. Classic Men and Women Watches
6. Quality Mobile Phones such as;
-Samsung
-Htc
-iPhone
-Blackberry
-Nokia
-Sony
And all kind of Electronic Products,pia ninatoa huduma ya kutafsiri Lugha ya Kichina na Kutoa barua za mwaliko kwa wale wanaotaka kuja China.
Mobile No: +8613143366650
Email: charlzmallya@gmail.com
Add: Guangzhou, China
huu mji ninaoishi ni Guangzhou....naweza nikasema ni mji mama kwa nchi ya China na unachangia kwa kiasi kikubwa sana uchumi wa China....Guangzhou ni mji wenye viwanda vingi na masoko mengi yenye kila aina ya bidhaa ambazo si tu zinakuja barani Africa bali hata zinaenda katika mabara mengine kama America,Europe nk....na bei ya vitu hapa ni nafuu sana kwasababu ya wingi wa masoko na viwanda vilivyopo hapa Guangzhou......Nashukuru sana.
Nitakutafuta kiongozi nataka kuja china kuchukua mzigo(Simu za Ukweli)
samahani mkuuu huku nyumbani kuna hofu imeshajengeka kuwa bidhaa za kichina ni feki, mbovu na hazidumu. Je ni kweli wafanyabiashara wa Kitanzania huwa wanaenda kuokoteza bidhaaa hafifu za bei cheee ambazo ni bandia ili waje kupata superprofit????? ama bidhaaa zooote za kichina ndo ziko hivihivi tunavyoziona hapa bongo??? nieleweshe mkuuu kwanini