Kwanini ung'atwe ovyo!!

Lady niece

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2014
Posts
953
Reaction score
414
Habarini wadau wa jf natumai mko fiti mnapambana na hali zenu za kusaka tonge la maisha leo nimewakumbuka sana na kuonelea kuwa letea mada isemayo: Kwanini ung'atwe ovyo

Ilihali una miguu ya kusepa chanja mbuga achana nae kwani ni huyo tu uliyeandikiwa nae kufa na kuzikana shosti usikalie kuti kavu ilihali una mwelekeo wa kusepa achana nae songa kivyako maisha popote mtu anakusumbua wewe bado eti kisa mapenzi kwani ulizaliwa nae.

Achana nae Mungu atakupa mwingine wa kufanana nae wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka utapata mwingine ambaye atakulea na ku handle maisha ni furaha sio karaha jifunze kuondoka kwani yeye ataona baadaye umuhimu wako

Najua mmeshapata somo hapa nawatakia kila kheri

kwaherini
 
Wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka
utapata mwingine
ambaye atakulea nakukuhendo maisha ni furaha sio karaha.

Uwe na consistency unapotoa nasaha zako!
 
Nilivoona kasema shost nikajua kabisi uzi utakua wa jinsia moja kuipinga jinsia ingne
nikasepa
 
Mmh hii yako mwenzangu inaitwa za mwenzio changanya na zako ila nikwambie sio kila kung'atwa ni lazima uchape lapa kung'atwa kwingine sababu ni kutokutaka kuzungumza na yule mng'ataji au sisi wanawake kushindwa kutambua sababu za huko kung'atwa hivo kusababisha kuwa jambo endelevu.

Hivyo naona kabla ya yote hayo kufanyika kama kubaki au kuondoka mazungumzo muhimu sababu tukisema kila tuking'atwa tunasepa huo ndio utakuwa mwanzo wa kujichakaza.
 
Mashosti haya mshauriane, jazaneni upepo
 
Ndo mnavyo danganyanaga sio?

Sikatai kuna wanaume hawafai hasa manake kutwa utalia.

Lakini kuna wanaume ambao wanarekebishika, na kubadilika kabisa and they turn out to be awesome husbands and Dads.

I wish ungewapa limits wenzio na kuwapa moyo wawe wavumilivu kwa sababu hamna mwanamme aliekamilika na sisi pia hatujakamilika.

Tufundishane, tuelekezane na tuvumiliane. Sio kosa dogo tu unasepa na hapo ushatumika. Ndo utasikia mwingine anaibuka na kusema oooh sitaki mwanaume bora mwanamke mwenzangu, mara oooh naweka dildo yangu chumbani.

Wanaanzaga hivi hivi.
 
Anadhan ni rahisi tu kama kwenda chooni na kupuu
Uvumilivu nao unahitajika japo una kikomo chake, ukisema kuacha unahamia kwingine utaacha wangapi make unakotoka unakokwenda kote kuna mapungufu, tena mara nyingine unapopaacha pana unafuu kuliko unapoenda ni vile tu huwa hatuthamini tukiwanavyo hadi tuvikose ndo tunajua umuhimu.
 
Kweli kabisa Salt ,,unapopaacha panakuwa na unafuu mkubwa kuliko unakoenda unaweza jikuta moyo unatanuka kisa li mtu
 
Wanaume wa sikuhizi hawaeleweki kabisa shosti wewe ukiona anakuletea zogo wewe ondoka
utapata mwingine
ambaye atakulea nakukuhendo maisha ni furaha sio karaha.

Uwe na consistency unapotoa nasaha zako!
Huyo mwengine akileta tena zogo ?
 
Aisee mwanamke wa tatu mwenye maarifa kuwahi kutokea katika maisha yangu. Hivyo wewe utakuwa miongoni mwa wanawake wachache wenye maarifa walio baki dunia hii Believe me.
 
Mapenzi hayako hivo unatakiwa kuvumilia bila kuchoka kumrekebisha mwenzio utambue binadam hatujakamilika na pia zipo steps za kuchukua ndio ufikie huko kuachana

Utakua una jump mahusiano hadi lini? ukitaka ambaye hana makosa muumbe wako mwenyewe huyo utadumu naye milele, unachopaswa ni kuvumilia kukaa chini kuongea tatizo lililopo namwenzio msonge mbele naweza kuona umekerwa kidogo tu ukasepa ajae unamjua alivyo??
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…