Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,938 Reaction score 110,413 May 26, 2014 #21 Karucee said: Hahahahaahaha. Guys, are you in a bad mood? Click to expand... Hii kitu ya kitambo sana hata sikumbuki nilikuwa na mood gani siku hiyo hahaha
Karucee said: Hahahahaahaha. Guys, are you in a bad mood? Click to expand... Hii kitu ya kitambo sana hata sikumbuki nilikuwa na mood gani siku hiyo hahaha
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,938 Reaction score 110,413 May 26, 2014 #22 Husninyo said: bby wangu ni mswitiiiiiiiiiiiiiii!!!!! Click to expand... wa kwangu ni msupuuuu nikimuweka kwa kibakuli shurti afurike
Husninyo said: bby wangu ni mswitiiiiiiiiiiiiiii!!!!! Click to expand... wa kwangu ni msupuuuu nikimuweka kwa kibakuli shurti afurike
jembe afrika JF-Expert Member Joined Jan 15, 2014 Posts 7,602 Reaction score 3,783 May 26, 2014 #23 Majigo said: acha kuzingua bana Click to expand... majigo dengue imeisha au bado maana nina mpango wa kurudi bongo maana mizinga ya ug imenichosha..loading error..
Majigo said: acha kuzingua bana Click to expand... majigo dengue imeisha au bado maana nina mpango wa kurudi bongo maana mizinga ya ug imenichosha..loading error..
mwekundu JF-Expert Member Joined Mar 4, 2013 Posts 22,476 Reaction score 21,042 May 26, 2014 #24 mimi wa kwangu ananifanyia hivi ndo nachompendea
Majigo JF-Expert Member Joined Feb 23, 2012 Posts 5,519 Reaction score 1,832 May 26, 2014 #25 jembe afrika said: majigo dengue imeisha au bado maana nina mpango wa kurudi bongo maana mizinga ya ug imenichosha..loading error.. Click to expand... hahahah rudi banah warembo wamekumis dengue ina watu wake, sio ww mzee wa black nature!!!
jembe afrika said: majigo dengue imeisha au bado maana nina mpango wa kurudi bongo maana mizinga ya ug imenichosha..loading error.. Click to expand... hahahah rudi banah warembo wamekumis dengue ina watu wake, sio ww mzee wa black nature!!!
DuppyConqueror JF-Expert Member Joined Mar 30, 2014 Posts 9,466 Reaction score 6,974 May 26, 2014 #26 angelita said: Nampenda sababu anajua kuhonga na yeye anatambua hilo Click to expand... Kwa style hiyo utapenda wengi sana.
angelita said: Nampenda sababu anajua kuhonga na yeye anatambua hilo Click to expand... Kwa style hiyo utapenda wengi sana.
jembe afrika JF-Expert Member Joined Jan 15, 2014 Posts 7,602 Reaction score 3,783 May 26, 2014 #27 Majigo said: hahahah rudi banah warembo wamekumis dengue ina watu wake, sio ww mzee wa black nature!!! Click to expand... ha ha haaaa majigo wewe ni mtu mkubwa sana bongo ngoja nifanye mikakati nije. vp nikuletee black mmoja wa kiganda?ila wanamizinga hao balaa afadhali bongo yangu. miss chaga yupo?......loading error....
Majigo said: hahahah rudi banah warembo wamekumis dengue ina watu wake, sio ww mzee wa black nature!!! Click to expand... ha ha haaaa majigo wewe ni mtu mkubwa sana bongo ngoja nifanye mikakati nije. vp nikuletee black mmoja wa kiganda?ila wanamizinga hao balaa afadhali bongo yangu. miss chaga yupo?......loading error....