greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,764
- 3,226
Taja Jiji duniani ambalo lina population ya zaidi 5 Million ,ambalo halina shida yaDar ni sehemu yenye raha nyingi kama kulivyo na karaha nyingi pia. Japo kwangu nikipima naona karaha ndio zimezidi.
Ni kawaida sana kukuta misururu ya foleni ya watu wakigombea usafiri tena unakuta ni mida mibovu kabisa. watu wanalundikwa kwenye daladala na mwendokasi utadhani ni bidhaa. hata km una usafiri binafsi foleni ni kila kona.
Ukitaka kuwahi sehemu ili uwahi asbh kwa mfano hospitali bac hakikisha unaamka mapema sana tena ikiwezekana saa nane uko au tisa usiku.
Hali ya usafi mitaani mitaa michafu, vyoo vya paspoti na kuwekwa mapipa chini, , mapusha na wateja wao wa madawa ya kulevya, wadangaji, chemba zilizowazi zinazochangia hewa chafu ni changamoto na kero zingine lundo. Licha ya haya yote kuna mtu humtoi nje Dar!
Sasa ndugu yangu wew nini hasa kinachokufanya ung'ang'anie kuishi mahali yenye karaha hivyo.
Mnaongangania kuishi huko niwajulishe tu nje ya Dar kuna maisha pia. Tena maisha ya [emoji646] stress kabisa na kila kitu kinaenda sawa.
Hahahaha!
Hong Kong Ina watu milion 7 na yenyewe wamagombania magari ?Taja Jiji duniani ambalo lina population ya zaidi 5 Million ,ambalo halina shida ya
- watu kujazana na kuhombania usafiri....
- Foleni ya magari
duhCha ajabu mkija Dar es salaam mkirudi makwenu mutataka Kila mtu akujue ulikuwa Dar. Nyie ishini maisha yenu huko mpitimbi na sisi tuishi yetu.
Hapo umeweka aina za usafiri mkuu,,ambazo kwa Dar nazo tunazo...Hong Kong Ina watu milion 7 na yenyewe wamagombania magari ?
New York ina watu milion 8 na wenyewe wanagombania magari ?
Nimekuwekea public transport za Hong Kong na New York
Tembeeni acheni kuishi hapo Buza unaona na kudhani Dunia nzima inaishi hivyo Kwa kurukia daladala kama manyani.
Sasa wewe umetaja miwili ,mi nakupa orodha nzima ya miji mikubwa ya over 5 million ujionee.....Hong Kong Ina watu milion 7 na yenyewe wamagombania magari ?
New York ina watu milion 8 na wenyewe wanagombania magari ?
Nimekuwekea public transport za Hong Kong na New York
Tembeeni acheni kuishi hapo Buza unaona na kudhani Dunia nzima inaishi hivyo Kwa kurukia daladala kama manyani.
trueChaos is a ladder,the climb is there all is, Dsm is a chaos.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwani ni serious namna hiyo Rrondo?Pilipili usioila yakuwashia nini?
We kipato xhako kidogo na unaishi mbagala au chanika utaichukia tu Dar,tafuta hela uhamie kwa wastaarabu uone raha ya jijiDar ni sehemu yenye raha nyingi kama kulivyo na karaha nyingi pia. Japo kwangu nikipima naona karaha ndio zimezidi.
Ni kawaida sana kukuta misururu ya foleni ya watu wakigombea usafiri tena unakuta ni mida mibovu kabisa. watu wanalundikwa kwenye daladala na mwendokasi utadhani ni bidhaa. hata km una usafiri binafsi foleni ni kila kona.
Ukitaka kuwahi sehemu ili uwahi asbh kwa mfano hospitali bac hakikisha unaamka mapema sana tena ikiwezekana saa nane uko au tisa usiku.
Hali ya usafi mitaani mitaa michafu, vyoo vya paspoti na kuwekwa mapipa chini, , mapusha na wateja wao wa madawa ya kulevya, wadangaji, chemba zilizowazi zinazochangia hewa chafu ni changamoto na kero zingine lundo. Licha ya haya yote kuna mtu humtoi nje Dar!
Sasa ndugu yangu wew nini hasa kinachokufanya ung'ang'anie kuishi mahali yenye karaha hivyo.
Mnaongangania kuishi huko niwajulishe tu nje ya Dar kuna maisha pia. Tena maisha ya [emoji646] stress kabisa na kila kitu kinaenda sawa.
Hebu tukumbushane tu....
Tell them.....We kipato xhako kidogo na unaishi mbagala au chanika utaichukia tu Dar,tafuta hela uhamie kwa wastaarabu uone raha ya jiji
Weekend leo naomba nikununulie wine 😎[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwani ni serious namna hiyo Rrondo?
Sawa Rrondo...Weekend leo naomba nikununulie wine [emoji41]
Si kama nimetumia nguvu, nimetumia akili tu mkuuHata hukutakiwa kutumia nguvu kubwa namna hii chief.
NB
maumivu yakizid muone aliye karibu yako kwa msaada zaidi
bas jitahid uwe na akil nzuri next timeSi kama nimetumia nguvu, nimetumia akili tu mkuu
Mkuu, akili zangu siku zote ziko juu na mtu mbumbumbu lazima atajichanganya tu kuongea nami because I am that specialbas jitahid uwe na akil nzuri next time
kwaiyo mkuu unamaanishaHebu tukumbushane tu....
View attachment 2975162
DUBAI-U.A.E,mwezi huu wa 4
View attachment 2975163
London-U. K,mwaka huu hiyo