imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,039
Hayaweki ugali mezani,,kumbuka Lowassa?!..
Hayaweki ugali mezani,,kumbuka Lowassa?!..
Bado wanakuimbia chagua kijani mletewe maendeleo, wakati wameshindwa kuziletea maendeleo kambi zaoKwa hali jinsi ilivyo ni dhahiri CCM imechokwa haswa Dar kiujumla sema tu wazembe kadhaa ndo wanapinga juhudo za maendeleo i.e. Dodoma, Singida,Tabora, Shinyanga, na Mwanza
Nitakuwa sijawatendea haki nikisema mko vizuri sana kwenye propaganda za kwenye social media lakini kwenye uhalisia hakuna kitu.uongo utakusaidia nini mkuu ? hii yako ni yetu lakini na hizo nilizoweka ni zetu pia za jana , halafu hii uliyoweka wala haionyeshi watu wachache kama unayotaka tuamini
Mkuu wacha unafiki,, picha za 2015 hizo wakati wa Lowassa wewe unatuletea leo? Ha ha ha haaaaa,, CCM bwana kwa kutafuta visingizio!!Hii ni hatari sana !View attachment 847483View attachment 847486View attachment 847483
Huu ni uzinduzi wa kampeni za Chadema jana jioni , jionee mwenyewe
Tatizo ni moja tu ambalo upinzani hawajanote wanafanya kampeni vizuri watu wanapiga kura at the end "mwenye nguvu mpishe ndo inatumika"
I swear to god upinzani mnajisumbua" hamtoshinda kupata ubunge wala udiwani
Hapa namaanisha sio kwamba hamshindi ila hakuna tume huru kwa sasa
Yaani mnajisumbua tu!
Bila tume huru mnajisumbua
Sent using Jamii Forums mobile app
Haki ya nani,, uchaguzi ungekuwaga huru siku zote CCM angekuwa kaburini sasa hivi! Tungekuwa tulishamsahau siku nyingi!!Tatizo sio mafuriko tatizo kupiga kura tu. Hamuendi kuchagua CDM bali CCM.
Uchaguzi usingelikuwa huru na haki, mbona hata siku moja hamjaomba mahakama hayo mabox ya kura yaletwe mbele ya jaji myahesabu upya?? Acha tu ushambaHaki ya nani,, uchaguzi ungekuwaga huru siku zote CCM angekuwa kaburini sasa hivi! Tungekuwa tulishamsahau siku nyingi!!
Wewe mbwa poli Jana nilikuwepo hii ni uhalisia was JanaMkuu wacha unafiki,, picha za 2015 hizo wakati wa Lowassa wewe unatuletea leo? Ha ha ha haaaaa,, CCM bwana kwa kutafuta visingizio!!
Hii ni hatari sana !View attachment 847483View attachment 847486View attachment 847483
Huu ni uzinduzi wa kampeni za Chadema jana jioni , jionee mwenyewe