Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,672
- 218,179
Hii ni hatari sana !
Huu ni uzinduzi wa kampeni za Chadema jana jioni , jionee mwenyewe
Huu ni uzinduzi wa kampeni za Chadema jana jioni , jionee mwenyewe
unaambiwa ni shiiiidaaaa !!!Ni hatari aise
Tatizo la chadema mnakelele nying hfu mkifka uchaguz mnaishia kulalamika tuHii ni hatari sana !View attachment 847483View attachment 847486View attachment 847483
Huu ni uzinduzi wa kampeni za Chadema jana jioni , jionee mwenyewe
CCM haiwezi kushinda uchaguzi wowote wa halali mahali popote .Jiwe lazima frustrations ziongezeke!!
Kwani kuna uchaguzi siku hizi?Tatizo la chadema mnakelele nying hfu mkifka uchaguz mnaishia kulalamika tu
Huu ni ushahidi biashara ya utumwa imefeli!!CCM haiwezi kushinda uchaguzi wowote wa halali mahali popote .
siku chadema ikiamua kukunja ngumi hapatakalika mkuu , Chadema itaendelea kuitaka tume ya uchaguzi kutangaza mshindi halali .Tatizo la chadema mnakelele nying hfu mkifka uchaguz mnaishia kulalamika tu
lengo la chadema ni " kujivua lawama " kama uko bright utakuwa umenielewa unonoTatizo ni moja tu ambalo upinzani hawajanote wanafanya kampeni vizuri watu wanapiga kura at the end "mwenye nguvu mpishe ndo inatumika"
I swear to god upinzani mnajisumbua" hamtoshinda kupata ubunge wala udiwani
Hapa namaanisha sio kwamba hamshindi ila hakuna tume huru kwa sasa
Yaani mnajisumbua tu!
Bila tume huru mnajisumbua
Sent using Jamii Forums mobile app
I see !too early to comment.
kule kwa waha zilianza picha kama hizi tukaishia ubalozini US, huku bingwa akaondoka chama cha kupindua.
uongo utakusaidia nini mkuu ? hii yako ni yetu lakini na hizo nilizoweka ni zetu pia za jana , halafu hii uliyoweka wala haionyeshi watu wachache kama unayotaka tuaminiHahahahahaha tatizo lenu vijana wa chagadema huwa mnajipa matumaini hewa, Kwa kuedit picha au kutumia picha za mwaka 2015 ili mkishindwa mtafute pa kutokea, picha halisi ya jana ni hii hata kwenye you tube inaonyesha Idadi ni ndogo sana ya waliohudhulia mkutano wenu. View attachment 847513
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaha Mkuu huo ndiyo ukweli, hii pia umeripotiwa na gazeti la mwanachi acheni kujipa matumaini hewa.uongo utakusaidia nini mkuu ?