kungurumanga
Senior Member
- Sep 4, 2015
- 175
- 44
Wanajamvi naomba kufahamishwa inakuaje viwanja kama Samora,Majimaji,Jamuhuri havitumiwi na UKAWA badala yake kampeni inafanywa kwenye viwanja vidogo?
Simple logic...Kwanini uchukue kiwanja kibubwa wakati huwezi kukijaza??
We kijana ya Gikombaa unatafuta nini kipande hii...mlishamalisana na ile skando ya Euro 30 Million ya Anglo-Leasing Finance? Au Uhuru naye anasema "Its our turn to eat"?Uzuri ni kuwa kampeni ya ukawa sasa ni mtu kwa mtu.Ccm waendelee na matamasha yao ya muziki
Hawapewi kibali rejea uzinduzi wa kampeni ilivyo kuwa pata shika kwa eneo la kufanyia mkutano waowana jamvi naomba kufahamishwa inakuaje viwanja kama samora,majimaji,jamuhuri havitumiwi na ukawa badala yake kampeni inafanywa kwenye viwanja vidogo?
viwanja vyote ni mali ya CCM hivyo huwa hawataki kuaibishwa uwanja wa nyumbani.
wana jamvi naomba kufahamishwa inakuaje viwanja kama samora,majimaji,jamuhuri havitumiwi na ukawa badala yake kampeni inafanywa kwenye viwanja vidogo?
Wala sio mali ya CCM.Ni matumizi mabaya tu ya madaraka.Naona jamaa wameona isiwe shida,kwani uwanja mzuri sio sababu ya ushindi.
Hvyo viwanja alivyotaja mtoa mada hapo juu vyote ni Mali ya ccm. Sasa kuna matumizi gani ya madaraka hapo? Mtu chake.
Ok thanks sikutambua hilo.
Wanajamvi naomba kufahamishwa inakuaje viwanja kama Samora,Majimaji,Jamuhuri havitumiwi na UKAWA badala yake kampeni inafanywa kwenye viwanja vidogo?