Na watoto wazuri wako kwa mzee PK Rwanda.
Hayo ni mawazo yako sisi wabongo tunawapenda wote. Naona umeamua tu kuchezea bando kama kuna fursa tunskuja kwenu na wewe karibu kwetu.
Ila kusema kweli mnanichanganya hivi UBC wanazungumza lugha gani ile.
Ni sawa na sisi Tz tuzungumze nyakyusa au kichaga TBC1 au hiyo lugha wanaongea UG wote.
Sent using
Jamii Forums mobile app