Kwanini Uganda is irrelevant?

Kuna channel yao inaitwa Bukedde sijui wanaongeaga nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo waganda wenyewr mnajitenga sana na wana East African wenzako , kwanza mnajifanya nyie ni watu wa Europer , yaani kama hamueleweki kabisa
 
Kwanza ww ni mganda kweli au artificial mganda? By ghe way sisi watz huwa tunajichanganya sana, lakini waganda sjida yenu mnajitenga , acheni hiyo tabia ya kujiweka ninyi kwa ninyi, na mnapenda sana kuongea kiganda hata mkiwa na mataifa mengine, mnaleta hilo hadi kwny biashara zenu, eti km hujui kuongea kigand basi huduma bora hupati, then kingine waganda kwenu customer hakuna,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hiyo ni inferiority complex,
Uganda mpo juu wala huna sababu ya kujishuku.
Tunategemana kwa vitu vingi hakuna sababu ya kujiona mpo juu au chini.Mjiamini
 
Kwa kweli nime bahatika kuishi na wakenya na waganda pia, Tanzanians we are the best in terms of interactions and social life. Easy going people, najivunia sana kuwa Mtanzania.
Hawa wenzetu wazito hata salamu kutoa shida, unakuta mtu kajaa ujinga tu wa kununa hovyo kisa eti ni Mkenya au yeye ni mganda, ha haah!wanafurahisha sana.
Then, hawa jirani zetu ukabila unawatesa hasa, muda wote wanakoroga kikabila, kuna muda nikiwa nao najihisi nipo mkoani ndani ndani sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hicho ni kiganda,,huku tuna lugha tatu kiganda,kiswahili na English sema juu ni kiganda...ila kinataka kufanania na kihaya na kisukuma kidogo....huwa tunaelewana vizuri tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo huo mkuu, nimeishi uganda kwa muda na nimetembea sana huko....ukwel ni kwamba waganda wamejigawanya sana huko kwao.

Ukienda kaskazin mwa uganda(gulu and lira) utakuta watu wana asili kama ya wajaluo wanaongea kilugha chao au english kidogo. Hawajui kuongea kiganda hata kidogo.

Sehem pekee wanapongea kiganda, kiswahil na english ni kampala. Halafu kiswahil ni lugha ya kijeshi au majambaz ndo wanaongea kiswahili.

Ssebo totulimba nawee
 

Oliotya ssebo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…