B Baryona Member Joined Dec 20, 2015 Posts 21 Reaction score 3 Dec 22, 2015 #1 Naomba kuliza kati hawa watu nne nani chanzo cha elimu kushuka Tanzania, watu hao ni mwanafunzi mwalimu Mzazi na serikali na nini suluhisho lake?
Naomba kuliza kati hawa watu nne nani chanzo cha elimu kushuka Tanzania, watu hao ni mwanafunzi mwalimu Mzazi na serikali na nini suluhisho lake?
S structuralist JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 1,230 Reaction score 909 Dec 22, 2015 #2 Hivi mnatumia vigezo gani kusema ubora wa elimu umeshuka? Nadhani ingekuwa bora zaidi kwa kuweka vigezo kwanza ndio tuanze huo mjadala.
Hivi mnatumia vigezo gani kusema ubora wa elimu umeshuka? Nadhani ingekuwa bora zaidi kwa kuweka vigezo kwanza ndio tuanze huo mjadala.
B Baryona Member Joined Dec 20, 2015 Posts 21 Reaction score 3 Dec 22, 2015 Thread starter #3 structuralist said: Hivi mnatumia vigezo gani kusema ubora wa elimu umeshuka? Nadhani ingekuwa bora zaidi kwa kuweka vigezo kwanza ndio tuanze huo mjadala. Click to expand... utasikia ufaulu umeshika sana,: wanafunzi wanamaliza elimu ya msingi hawajui kusoma wala kuandika
structuralist said: Hivi mnatumia vigezo gani kusema ubora wa elimu umeshuka? Nadhani ingekuwa bora zaidi kwa kuweka vigezo kwanza ndio tuanze huo mjadala. Click to expand... utasikia ufaulu umeshika sana,: wanafunzi wanamaliza elimu ya msingi hawajui kusoma wala kuandika
NYANYADO JF-Expert Member Joined Jan 8, 2013 Posts 3,848 Reaction score 2,553 Dec 23, 2015 #5 elimu inashuka kwa sababu haina blanketi.