Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,643
- 218,099
Naomba wacha Mungu mnisaidie kama nitakuwa nimekosea , maana mimi si mjuzi sana wa MISA ZA WAFU .
Ni muda mrefu sasa familia za wahanga wanaopotea ama kupotezwa nchini Tanzania zinateseka sana kutokana na utata wa waliko ndugu zao , japo maelfu ya viroba vyenye miili ya binadamu ikiripotiwa kuokotwa hapa au pale kwenye bahari ya hindi , haijawahi kutajwa wanakotokea .
Wasiwasi wangu ni kwamba wanaokotwa ndio waliopotea , " ukimkosa kuku wako bandani lakini ukaona manyoya karibu na banda basi ujue kuku wako kaliwa "
Mimi napendekeza kwamba NI BORA IFANYIKE HITIMA AMA IBADA YA MAZISHI YA WOTE WALIOPOTEA ILI KUWATUA MZIGO NDUGU ZAO WANAOLIA KILA SIKU BILA hata dalili ya kupata ndugu zao , ambao jeshi la polisi limekiri kutokufahamu waliko , ikiwa kama baada ya hitma pakatokea wa kujitokeza basi bila shaka Tutaitana tena ili kumfutia ibada ya mazishi yule atakayeonekana .
Naomba kuwasilisha .
Nakala kwa Mshana Jr .
Ni muda mrefu sasa familia za wahanga wanaopotea ama kupotezwa nchini Tanzania zinateseka sana kutokana na utata wa waliko ndugu zao , japo maelfu ya viroba vyenye miili ya binadamu ikiripotiwa kuokotwa hapa au pale kwenye bahari ya hindi , haijawahi kutajwa wanakotokea .
Wasiwasi wangu ni kwamba wanaokotwa ndio waliopotea , " ukimkosa kuku wako bandani lakini ukaona manyoya karibu na banda basi ujue kuku wako kaliwa "
Mimi napendekeza kwamba NI BORA IFANYIKE HITIMA AMA IBADA YA MAZISHI YA WOTE WALIOPOTEA ILI KUWATUA MZIGO NDUGU ZAO WANAOLIA KILA SIKU BILA hata dalili ya kupata ndugu zao , ambao jeshi la polisi limekiri kutokufahamu waliko , ikiwa kama baada ya hitma pakatokea wa kujitokeza basi bila shaka Tutaitana tena ili kumfutia ibada ya mazishi yule atakayeonekana .
Naomba kuwasilisha .
Nakala kwa Mshana Jr .