vidmate
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 687
- 1,205
Habarini za saa wandugu?? Natumai wote huko mliko ni wazima mkiparangana na changamoto za maisha ktk nyanja tofauti... Ila mara moja moja msisahau kujipongeza kwa juhudi zenu hata kama hujafanikiwa ila kuna kitu utakuwa umejifunza.
Bila kuwachosha miaka kadhaa iliyopita tarehe kama ya leo 8/5 nilizaliwa chini ya utawala wa mzee wetu ruksa ila kwa kweli hadi sasa sijaona thamani ya kutumia gharama ama muda kusherekea siku ya kuzaliwa, toka asbh nipo na mishe zangu ni siku ambayo sitaki hata watu waijue kuepusha ushawishi wao hata Fb inabidi niji deactivate kwa muda, maana sielewi kwa kweli
Ila kwa wengi ni tofauti naweza kushiriki za wengine ila kimoyo moyo nabaki kushangaa na maswali mengi. Utakuta mtu mfano girlfriend anakutaarifu miezi kadhaa nyuma na anataka umchangie sherehe, mwaka jana girlfriend alinimaind kisa sikujihusisha na birthday yake japo tulikuwa mbali mikoa tofauti
Hivyo wakuu hii birthday nini hasa furaha yake na mimi wakati mwingine niipate?? Ama ni kigezo ili tu watu mjumuike na kuenjoy, Kwann watu mnasherekea ilihali hujui kwann unaishi ama hata kama unajua haujatimiza?
Lengo langu si kumshambulia mtu yeyote ama kuwakosoa ila nawaza kwa sauti
Bila kuwachosha miaka kadhaa iliyopita tarehe kama ya leo 8/5 nilizaliwa chini ya utawala wa mzee wetu ruksa ila kwa kweli hadi sasa sijaona thamani ya kutumia gharama ama muda kusherekea siku ya kuzaliwa, toka asbh nipo na mishe zangu ni siku ambayo sitaki hata watu waijue kuepusha ushawishi wao hata Fb inabidi niji deactivate kwa muda, maana sielewi kwa kweli
Ila kwa wengi ni tofauti naweza kushiriki za wengine ila kimoyo moyo nabaki kushangaa na maswali mengi. Utakuta mtu mfano girlfriend anakutaarifu miezi kadhaa nyuma na anataka umchangie sherehe, mwaka jana girlfriend alinimaind kisa sikujihusisha na birthday yake japo tulikuwa mbali mikoa tofauti
Hivyo wakuu hii birthday nini hasa furaha yake na mimi wakati mwingine niipate?? Ama ni kigezo ili tu watu mjumuike na kuenjoy, Kwann watu mnasherekea ilihali hujui kwann unaishi ama hata kama unajua haujatimiza?
Lengo langu si kumshambulia mtu yeyote ama kuwakosoa ila nawaza kwa sauti