gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 14,289
- 17,771
Turkey ni nato,watawaweka nato ktk wakati mgumu, maana makubaliano ya nato akipigwa mmoja wote wanaingiliaView attachment 3388259naona upepo bado unavuma maana unaweza ukampitia yeyote huu upepo waajabu sasa yetu macho 😎.https://x.com/Currentreport1/status/1938867127521628359?t=sOVPHTMalnm1iEYH6a9icw&s=19
Waziri wa ulinzi hupewa intelijensia na USA+ west,na anaongea toka moyoniSasa wewe umejuaje kuwa muongo ni Trump na sio Waziri wa Ulinzi? 😃😃😃
Roho inakuuma sana mwanaume kamili alipoishinda mishoga na kutaka kusitisha vita,kataa kubali kwa vile shoga hata ukimwambia utamu wa mbunye hawezi kukuelewa,Iran imeshinda vita na kile kichaka cha taifa teule kichapwaKusema alisitisha kwa sababu ilikuwa na madhara makubwa kwa upande wao ni uongo kabisa kwani ingekuwa ni hivyo basi Iran isingekubali kusitisha vita na ingetumia hiyo fursa "kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia".
Hivyo hizo kama kawaida ni zile porojo tu za kutoka masjid ubwabwa.
Elewa kwamba vita havijaisha ila vimesitishwa tu na punde vikianza tena mlengwa mkuu atakuwa ni huyo Ayatollah mwenyewe na weka macho uone kama hatapelekwa akhera kupokelewa na mabikra 72 wenye macho kama mayai na wasioenda choo.
mbona huoni kama Ayatollah ni muongo anatoka mafichoni na kusema Iran imeshinda vita na nuklia zimepata athari kidogo huku jeshi la Iran limeharibiwa majenerali wameuawa,wanasayansi wameuawa,rada zimepomolewa,nuklia zimelipuliwa,wairan wameuawa kama 600 hivi huku Israel ni 28 tu na nyumba 700 zilizobomolewa na ayatollah yeye mwenyewe katetewa na Trump asiuliwe ni ushindi gani Iran imeupata?Aliandika kwenye mtandao wake kuwa yeye na Israel wanafahamu alipojificha kiongozi mkuu wa Iran ayatollah ali khamenei na kwamba hawataki kumuua.
At the Same Point Waziri wa ulinzi wa Israel anakiri kuwa katika Operesheni yao lengo lilikua ni kumuua Ayatollah na viongozi wa kijeshi lakini kuhusu kumuua ayatollah walifeli kwani hawakujua alipo.
My take: Jee hawa ndo watu wa kuwaaamini??? Mbona trump na magharibi ni waongo sana?
🤣🤣🤣 Nani muongo hapa?mbona huoni kama Ayatollah ni muongo anatoka mafichoni na kusema Iran imeshinda vita na nuklia zimepata athari kidogo huku jeshi la Iran limeharibiwa majenerali wameuawa,wanasayansi wameuawa,rada zimepomolewa,nuklia zimelipuliwa,wairan wameuawa kama 600 hivi huku Israel ni 28 tu na nyumba 700 zilizobomolewa na ayatollah yeye mwenyewe katetewa na Trump asiuliwe ni ushindi gani Iran imeupata?
Akivamia Uturuki ameisha.View attachment 3388259naona upepo bado unavuma maana unaweza ukampitia yeyote huu upepo waajabu sasa yetu macho 😎.https://x.com/Currentreport1/status/1938867127521628359?t=sOVPHTMalnm1iEYH6a9icw&s=19
ila Rais wa nchi hapewi intelejensia na watu wake!Waziri wa ulinzi hupewa intelijensia na USA+ west,na anaongea toka moyoni
Hana pressure nyuma yake,anaweza ongea uwongo, lakini mod wa israel facial expression unaona kabisa reallyila Rais wa nchi hapewi intelejensia na watu wake!
Huyo Trump alikataa ripoti ya Mr.Grossi kuhusu mpango wa nuclear wa Iran l,ilhali Grossi ndiye nuclear watchdog wa IAEA.ila Rais wa nchi hapewi intelejensia na watu wake!
Haya maneno uliyoyanukuu embu yaweke Kwa lugha ya kingereza tukusaidie kutafsir maana Nina uhakika umeyatoa kwenye lugha ya kiarabu ndio maana yanaonekana Yako kinyume nyume.Aliandika kwenye mtandao wake kuwa yeye na Israel wanafahamu alipojificha kiongozi mkuu wa Iran ayatollah ali khamenei na kwamba hawataki kumuua.
At the Same Point Waziri wa ulinzi wa Israel anakiri kuwa katika Operesheni yao lengo lilikua ni kumuua Ayatollah na viongozi wa kijeshi lakini kuhusu kumuua ayatollah walifeli kwani hawakujua alipo.
My take: Jee hawa ndo watu wa kuwaaamini??? Mbona trump na magharibi ni waongo sana?
wacha urongo wanajichanganya wenyeweNi techniques za kuwachanganya na kuwavuruga akili msijue nini wanajua in detai na nini hawajui
Trump kachanyikiwa ndie aliewashauri Israel waingie hiyo vita baadae alipoona ina madhara makubwa upande wao wakaamua kusitisha sasa sababu ya vita inabidi aokoteze tu mtaani kila kukicha tukijaaliwa kesho ataongea kitu kingine kabisaa maana wale wahuni kitendo cha kupiga maeneo todauti tofauti ndani ya Israel kimewachanganya sana.
Wewe unaamini kipi hapo? Marekani as long washajja upo place furani wanaamini, ila Israel hadi apige ndio anakuambia Anajua ulipo so usiogope language na tactics za inteligence
Why Trump thinks what is saying is Gospel truth??Alisema "hatima ya kuipoga Iran itajulikana baada ya wiki MBILI" jioni yake yale madege meusi kama yamevaa nikabu yakafanya mashambulizi, ila angalau tumshukuru kwa kuendelea kumkingia kifua vijana wa Netanyau wasimuue.
View attachment 3388211
Hawa jamaa jeuri sana na kiburi juu, at least Wairan wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa to cut them to size.Turkey ni nato,watawaweka nato ktk wakati mgumu, maana makubaliano ya nato akipigwa mmoja wote wanaingilia
Halafu israel aache shobo,hawamuwezi Turkey,labda kama wamechoka kuishi
Hao ni bla bla nyingi toka lini Myahudi na Nasara wakawa wakweliAliandika kwenye mtandao wake kuwa yeye na Israel wanafahamu alipojificha kiongozi mkuu wa Iran ayatollah ali khamenei na kwamba hawataki kumuua.
At the Same Point Waziri wa ulinzi wa Israel anakiri kuwa katika Operesheni yao lengo lilikua ni kumuua Ayatollah na viongozi wa kijeshi lakini kuhusu kumuua ayatollah walifeli kwani hawakujua alipo.
My take: Jee hawa ndo watu wa kuwaaamini??? Mbona trump na magharibi ni waongo sana?
Trump si kwamba ni muongo tu.Zaidi ya hivyo ni tapeli na mwenye tabia za kiiblisi.🤣🤣🤣🤣🤣 hawa jamaa na wenzao humu ni wajinga Pro