Kwanini Trump ni muongo hivi??

View attachment 3388259naona upepo bado unavuma maana unaweza ukampitia yeyote huu upepo waajabu sasa yetu macho 😎.https://x.com/Currentreport1/status/1938867127521628359?t=sOVPHTMalnm1iEYH6a9icw&s=19
Turkey ni nato,watawaweka nato ktk wakati mgumu, maana makubaliano ya nato akipigwa mmoja wote wanaingilia
Halafu israel aache shobo,hawamuwezi Turkey,labda kama wamechoka kuishi
 
Wewe unaamini kipi hapo? Marekani as long washajja upo place furani wanaamini, ila Israel hadi apige ndio anakuambia Anajua ulipo so usiogope language na tactics za inteligence
 
Roho inakuuma sana mwanaume kamili alipoishinda mishoga na kutaka kusitisha vita,kataa kubali kwa vile shoga hata ukimwambia utamu wa mbunye hawezi kukuelewa,Iran imeshinda vita na kile kichaka cha taifa teule kichapwa
 
mbona huoni kama Ayatollah ni muongo anatoka mafichoni na kusema Iran imeshinda vita na nuklia zimepata athari kidogo huku jeshi la Iran limeharibiwa majenerali wameuawa,wanasayansi wameuawa,rada zimepomolewa,nuklia zimelipuliwa,wairan wameuawa kama 600 hivi huku Israel ni 28 tu na nyumba 700 zilizobomolewa na ayatollah yeye mwenyewe katetewa na Trump asiuliwe ni ushindi gani Iran imeupata?
 
🤣🤣🤣 Nani muongo hapa?
Na jinsi unavyo ongea unaonesha ulivyo kasirikia kwa kupigwa
Nakukumbusha tu matukio yalio fanyika ya Israel ni ya kigaidi, na sheria za kimataifa za kivita amevunja pia
 

Attachments

  • 6111373-2a473baef567f35b5d84a5031ccf231.mp4
    21.3 MB
  • Screenshot_20250625-075639.png
    1.5 MB · Views: 8
ila Rais wa nchi hapewi intelejensia na watu wake!
Huyo Trump alikataa ripoti ya Mr.Grossi kuhusu mpango wa nuclear wa Iran l,ilhali Grossi ndiye nuclear watchdog wa IAEA.
Kwa akili zako timamu nadhani ushaelewa.
Ni sawa na Samia Suluhu akatae ripoti ya Dr.Janabi ilhali yeye hajasomea kuhusu afya.
Hapo ndipo utakuta mwanasiasa anapindisha ripoti za mwanasayansi ili kukidhi mahitaji yake ya kisiasa.
Una akili timamu think beyond the box.
 
Haya maneno uliyoyanukuu embu yaweke Kwa lugha ya kingereza tukusaidie kutafsir maana Nina uhakika umeyatoa kwenye lugha ya kiarabu ndio maana yanaonekana Yako kinyume nyume.
 
Jamaa hana akili kabisa
 
Nomaa
Pameanza kuchangamka

[emoji779]️[emoji1134][emoji1130] Channel 13:
“There are many casualties in army bases and strategic facilities due to Iranian missiles that we have not talked about until today”.

@Palestine_Updates
 
Wewe ndo ulisema Iran na Israel ni marafiki na wanatuzuga tu na kwamba haitokaa itokee vita kati ya hao

Tukuamini kwa kipi kwanza
Wewe unaamini kipi hapo? Marekani as long washajja upo place furani wanaamini, ila Israel hadi apige ndio anakuambia Anajua ulipo so usiogope language na tactics za inteligence
 
Turkey ni nato,watawaweka nato ktk wakati mgumu, maana makubaliano ya nato akipigwa mmoja wote wanaingilia
Halafu israel aache shobo,hawamuwezi Turkey,labda kama wamechoka kuishi
Hawa jamaa jeuri sana na kiburi juu, at least Wairan wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa to cut them to size.
 
Hao ni bla bla nyingi toka lini Myahudi na Nasara wakawa wakweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…