Ni techniques za kuwachanganya na kuwavuruga akili msijue nini wanajua in detai na nini hawajuiAt the Same Point Waziri wa ulinzi wa Israel anakiri kuwa katika Operesheni yao lengo lilikua ni kumuua Ayatollah na viongozi wa kijeshi lakini kuhusu kumuua ayatollah walifeli kwani hawakujua alipo.
My take: Jee hawa ndo watu wa kuwaaamini??? Mbona trump na magharibi ni waongo sana?
Hao ni mabingwa wa propagandaAliandika kwenye mtandao wake kuwa yeye na Israel wanafahamu alipojificha kiongozi mkuu wa Iran ayatollah ali khamenei na kwamba hawataki kumuua.
At the Same Point Waziri wa ulinzi wa Israel anakiri kuwa katika Operesheni yao lengo lilikua ni kumuua Ayatollah na viongozi wa kijeshi lakini kuhusu kumuua ayatollah walifeli kwani hawakujua alipo.
My take: Jee hawa ndo watu wa kuwaaamini??? Mbona trump na magharibi ni waongo sana?
Zee la ovyoHuo mgogoro amefanikiwa kuchepusha ajenda yake na Musk na Yale maandamano.
Pameanza kuchangamka
โ๏ธ๐ฎ๐ฑ๐ฎ๐ท Channel 13:
โThere are many casualties in army bases and strategic facilities due to Iranian missiles that we have not talked about until todayโ.
@Palestine_Updatessiki
Watasema tu ukweliPameanza kuchangamka
โ๏ธ๐ฎ๐ฑ๐ฎ๐ท Channel 13:
โThere are many casualties in army bases and strategic facilities due to Iranian missiles that we have not talked about until todayโ.
@Palestine_Updates
Mimi nilisha zisishtukia Sana media za magharibi, pia Trump na yeye haeleweki eleweki leo kasema hili kesho kasema lile, vurugu tupu!!Aliandika kwenye mtandao wake kuwa yeye na Israel wanafahamu alipojificha kiongozi mkuu wa Iran ayatollah ali khamenei na kwamba hawataki kumuua.
At the Same Point Waziri wa ulinzi wa Israel anakiri kuwa katika Operesheni yao lengo lilikua ni kumuua Ayatollah na viongozi wa kijeshi lakini kuhusu kumuua ayatollah walifeli kwani hawakujua alipo.
My take: Jee hawa ndo watu wa kuwaaamini??? Mbona trump na magharibi ni waongo sana?
Na ww ni muongo mkubwa na mchonganishi mfitinishaji mkubwa tuwekee hapa alichokiandika TRUMP na ISRAEL tuhakikishe huu sio mpiraAliandika kwenye mtandao wake kuwa yeye na Israel wanafahamu alipojificha kiongozi mkuu wa Iran ayatollah ali khamenei na kwamba hawataki kumuua.
At the Same Point Waziri wa ulinzi wa Israel anakiri kuwa katika Operesheni yao lengo lilikua ni kumuua Ayatollah na viongozi wa kijeshi lakini kuhusu kumuua ayatollah walifeli kwani hawakujua alipo.
My take: Jee hawa ndo watu wa kuwaaamini??? Mbona trump na magharibi ni waongo sana?
Kusema alisitisha kwa sababu ilikuwa na madhara makubwa kwa upande wao ni uongo kabisa kwani ingekuwa ni hivyo basi Iran isingekubali kusitisha vita na ingetumia hiyo fursa "kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia".Trump kachanyikiwa ndie aliewashauri Israel waingie hiyo vita baadae alipoona ina madhara makubwa upande wao wakaamua kusitisha sasa sababu ya vita inabidi aokoteze tu mtaani kila kukicha tukijaaliwa kesho ataongea kitu kingine kabisaa maana wale wahuni kitendo cha kupiga maeneo todauti tofauti ndani ya Israel kimewachanganya sana.
Ulimuamini lini hadi uhoji ukweli wake?Aliandika kwenye mtandao wake kuwa yeye na Israel wanafahamu alipojificha kiongozi mkuu wa Iran ayatollah ali khamenei na kwamba hawataki kumuua.
At the Same Point Waziri wa ulinzi wa Israel anakiri kuwa katika Operesheni yao lengo lilikua ni kumuua Ayatollah na viongozi wa kijeshi lakini kuhusu kumuua ayatollah walifeli kwani hawakujua alipo.
My take: Jee hawa ndo watu wa kuwaaamini??? Mbona trump na magharibi ni waongo sana?
Sasa wewe umejuaje kuwa muongo ni Trump na sio Waziri wa Ulinzi? ๐๐๐Aliandika kwenye mtandao wake kuwa yeye na Israel wanafahamu alipojificha kiongozi mkuu wa Iran ayatollah ali khamenei na kwamba hawataki kumuua.
At the Same Point Waziri wa ulinzi wa Israel anakiri kuwa katika Operesheni yao lengo lilikua ni kumuua Ayatollah na viongozi wa kijeshi lakini kuhusu kumuua ayatollah walifeli kwani hawakujua alipo.
My take: Jee hawa ndo watu wa kuwaaamini??? Mbona trump na magharibi ni waongo sana?
Sisi tunachojua ni majeruhi wachache tu,na tumekubaliana na hiloPameanza kuchangamka
โ๏ธ๐ฎ๐ฑ๐ฎ๐ท Channel 13:
โThere are many casualties in army bases and strategic facilities due to Iranian missiles that we have not talked about until todayโ.
@Palestine_Updates