Kuna kamchezo kanakoendelea Tigo cha kudaivegi mawasiliano na sms za baazi ya wateja wao. Mpaka naandika maada hii, mdau 1 ambaye tunafanya naye kazi ameshawajua wafanyakazi wa 3 wanaofanya kazi tigo call centre pamoja na uhuni huo wanaoufanya.
Si hivyo tu bali wamejaa wezi humo. Jana nilinunua kifushi cha extrem saa 6 mchana na cha kushangaza nampigia jamaa yangu saa 10 jioni simu haina salio hata la mesage. Na hii si mara ya kwanza kwani niliwahi kuwapigia wanaishia kunipa moyo eti ni kweli na tatizo lako linashughulikiwa hadi muda wa kifurushi unaisha bila kusaidiwa. Kama wafanyakazi wa tigo wanaona wizi unalipa si waje mtaani kujiunga na kundi la mbwamwitu? Waache ujinga huu vinginevyo nitahamia ttcl.
Kuna kamchezo kanakoendelea Tigo cha kudaivegi mawasiliano na sms za baazi ya wateja wao. Mpaka naandika maada hii, mdau 1 ambaye tunafanya naye kazi ameshawajua wafanyakazi wa 3 wanaofanya kazi tigo call centre pamoja na uhuni huo wanaoufanya.
Kuna kamchezo kanakoendelea Tigo cha kudaivegi mawasiliano na sms za baazi ya wateja wao. Mpaka naandika maada hii, mdau 1 ambaye tunafanya naye kazi ameshawajua wafanyakazi wa 3 wanaofanya kazi tigo call centre pamoja na uhuni huo wanaoufanya.