Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #21
Kwa kijana mdogo kama mimi kusema shikamoo kwa wakubwa zangu ndio desturi yetu sisi watanzania. Ndio tabia njema tuliyofundishwa tangu tukiwa wadogoHuo utaratibu wako wa kuja na shikamoo utakuja kuamkia hata watoto wa shule ya msingi,unakuja humu unasema wakubwa zangu shikamoo kumbe wewe ndio mzee kuliko wote humu JF