BRO SANTANA
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,845
- 2,249
Ndugu wananchi wenzangu.
Nchi hii na serikali yake ya kijani haina hata chembe ya huruma kwa wananchi wake.
Wametoa mfumo wa mita za kawaida za umeme na kuleta mita za luku ili kuwanyonya wananchi.
Elfu 10 unit 24 jamani inauma sana hasa kwa wale wa kipato cha chini na ukizingatia gesi inaanza kutoka mtwara hivi punde.
Anayejua kuhusu hili anijuze tafadhali.
Nchi hii na serikali yake ya kijani haina hata chembe ya huruma kwa wananchi wake.
Wametoa mfumo wa mita za kawaida za umeme na kuleta mita za luku ili kuwanyonya wananchi.
Elfu 10 unit 24 jamani inauma sana hasa kwa wale wa kipato cha chini na ukizingatia gesi inaanza kutoka mtwara hivi punde.
Anayejua kuhusu hili anijuze tafadhali.