Kwanini Tanzania hatuna Airline?

Kwanini Tanzania hatuna Airline?

Air Tanzania,Viwanda,Vyama vya ushirika na Hotel zilizoendeshwa na Serikali zilihujumiwa na wananchi wenyewe na ndio chanzo cha serikali kuweka mkakati wa ubinafsishaji(japo ulikuja na changamoto),bado baadhi watanzania wanaendeleza ulafi.Kuna kipindi Hayati JKN alienda S.A miaka flani hivi akiwa airport aliiona Air Tanzania katikati ya Ndege kubwa za mataifa mengine ulimwenguni akasema masikini kashirika ketu(ATC) wakubwa wanataka kukamaliza!..
 
Air Tanzania,Viwanda,Vyama vya ushirika na Hotel zilizoendeshwa na Serikali zilihujumiwa na wananchi wenyewe na ndio chanzo cha serikali kuweka mkakati wa ubinafsishaji(japo ulikuja na changamoto),bado baadhi watanzania wanaendeleza ulafi.Kuna kipindi Hayati JKN alienda S.A miaka flani hivi akiwa airport aliiona Air Tanzania katikati ya Ndege kubwa za mataifa mengine ulimwenguni akasema masikini kashirika ketu(ATC) wakubwa wanataka kukamaliza!..

Kuhujumiwa vitega uchumi vya serikali na wananchi ni uzembe wa nani? Kazi ya serikali ni kutunga na kusimamia sheria, inashindwaje kuwachukulia hatua hao wananchi wanaohujumu Taifa?
 
Watanzania tulio wengi tunataka mabadiliko haya yote yalipaswa kufanywa na serikali ya chama cha Mapinduzi wameshindwa kwa miaka hamsini!!hakuna wimbo watakaopiga tuuelewe tumechoka na ahadi hewa

Vizuri umejitambua mkuu
 
Hivi hakuna Watanzanaia wanaoweza kuendesha Shirika la ndege la Tanzania? Ina maana hakuna wachumi wa utawala wa biashara?

Kwa nini Tanzania hatuna Airline?

Alitokezea Mtanzania moja akataka kuanzisha shirika la Ndege ambalo itakuwa inamilikiwa na Mtanzania kwa asilimia 100 ila ikashindikana kutokana na masharti yasiokuwa na tija( Ilimradi na watu fulani wanufaike). Akataka kulichukua Shirika la ndege la Tanzania ila yeye awe na hisa zaidi ya 50% akakataliwa
 
Hivi hakuna Watanzanaia wanaoweza kuendesha Shirika la ndege la Tanzania? Ina maana hakuna wachumi wa utawala wa biashara?

Kwa nini Tanzania hatuna Airline?

Ukiingia kwenye chumba cha kupigia kura jiulize maswali kama hayo 5 tu kisha piga kura...........
 
Back
Top Bottom