Habari za Asubuhi wana jamvi,
Nimefikili sana juu ya Taifa langu Tanzania,
Ukujaribu kuangalia mataifa kama Rwanda na Kenya yanatumia mbinu za kila aina kuhakikisha kwamba yanakuwa na uwezo wa kwenda kuexpoloit mataifa jirani kwa manufaa ya wananchi wake.
Mfano mzuri ni Rwanda,Kagame yupo tayari kufanya chochote ilimradi aweze kuibia taifa jirani (Congo)kwa manufaa ya wanyarwanda na huyu mtu naona kama ana mpango wa kutuibia hata sisi kwa manufaa ya haohao wananyarwanda.
Sasa wanyarwanda wametapakaa kila kona ya Tanzania,na watanzania tunavyopenda wanawake wa kinyarwanda tutawaoa watazaliana hapa nchini na baadae taifa hili linaweza kubadilika kuwa la wanyarwanda,take it from me,Kagame anaangalia mbali saana kwa manufaa ya watu wake.
Kwa habari za chinichini ni kwamba Kagame anao mpango wa kuitawala East Afrika kwa kutumia mbinu hiyohiyo ya kuzaliana,Ukiangalia Uganda inatawaliwa na Myarwanda Mseveni,Ukiangalia Congo Inatawaliwa na Mnyarwanda Kabila,sasa ajenda yake kubwa ni kuitawala Tanzania.
Tanzania sasa tunapaswa kufungua macho tuwe na maono ya mbali,ikiwezekana tuwe na uwezo wa kwenda kuiba mataifa Jirani kwa manufaa ya Watanzania.
Lakini Pia Tunapaswa kuwa makini sana na huyu Kagame.
Nakupenda Tanzania.
Nimefikili sana juu ya Taifa langu Tanzania,
Ukujaribu kuangalia mataifa kama Rwanda na Kenya yanatumia mbinu za kila aina kuhakikisha kwamba yanakuwa na uwezo wa kwenda kuexpoloit mataifa jirani kwa manufaa ya wananchi wake.
Mfano mzuri ni Rwanda,Kagame yupo tayari kufanya chochote ilimradi aweze kuibia taifa jirani (Congo)kwa manufaa ya wanyarwanda na huyu mtu naona kama ana mpango wa kutuibia hata sisi kwa manufaa ya haohao wananyarwanda.
Sasa wanyarwanda wametapakaa kila kona ya Tanzania,na watanzania tunavyopenda wanawake wa kinyarwanda tutawaoa watazaliana hapa nchini na baadae taifa hili linaweza kubadilika kuwa la wanyarwanda,take it from me,Kagame anaangalia mbali saana kwa manufaa ya watu wake.
Kwa habari za chinichini ni kwamba Kagame anao mpango wa kuitawala East Afrika kwa kutumia mbinu hiyohiyo ya kuzaliana,Ukiangalia Uganda inatawaliwa na Myarwanda Mseveni,Ukiangalia Congo Inatawaliwa na Mnyarwanda Kabila,sasa ajenda yake kubwa ni kuitawala Tanzania.
Tanzania sasa tunapaswa kufungua macho tuwe na maono ya mbali,ikiwezekana tuwe na uwezo wa kwenda kuiba mataifa Jirani kwa manufaa ya Watanzania.
Lakini Pia Tunapaswa kuwa makini sana na huyu Kagame.
Nakupenda Tanzania.