johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,766
- 141,630
Mwenyekiti wa kamati ya ushindi ya Taifa stars RC Makonda amemwomba radhi Rais Magufuli na watanzania wote kwa ujumla kwa kipigo ilichopata kutoka kwa Harambee stars.
Makonda amesema mpira ni dakika 90 na ndivyo ilivyotokea Cairo jana lakini hata hivyo mechi ya jana vijana wetu walicheza vizuri kuliko siku ya Senegal.
Makonda amesema wananchi wanapaswa kuipenda timu ya Taifa badala ya kuibeza.
Mwisho Makonda amemshukuru Rais Magufuli kwa kumtuma Cairo Misri kuiongezea nguvu Taifa stars na kwamba yeye ( Makonda) anarejea nyumbani lakini anaamini vijana wetu wataigaragaza Algeria katika mechi yao ya mwisho.
Source Global publishers tv
Maendeleo hayana vyama!
Makonda amesema mpira ni dakika 90 na ndivyo ilivyotokea Cairo jana lakini hata hivyo mechi ya jana vijana wetu walicheza vizuri kuliko siku ya Senegal.
Makonda amesema wananchi wanapaswa kuipenda timu ya Taifa badala ya kuibeza.
Mwisho Makonda amemshukuru Rais Magufuli kwa kumtuma Cairo Misri kuiongezea nguvu Taifa stars na kwamba yeye ( Makonda) anarejea nyumbani lakini anaamini vijana wetu wataigaragaza Algeria katika mechi yao ya mwisho.
Source Global publishers tv
Maendeleo hayana vyama!