Kwanini Taasisi huwa hazisomi emails za wateja ? Tatizo la Benk za Tanzania na mitandao ya simu

Kwanini Taasisi huwa hazisomi emails za wateja ? Tatizo la Benk za Tanzania na mitandao ya simu

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
17,177
Reaction score
41,623
Tuna Tatizo sana hasa kwa watu wanaoishi nje ya Tanzania 🇹🇿

Unakuta Vodacom Mpesa wameweka whatsap number kwa ajili ya watu wanaoishi Nje ila unaweza andika ujumbe wa haraka kujibiwa inatumia week kujibu

Hata kwenye benk zetu Kama NBC na NMB hao ndo kabisa unaandika ujumbe emails zinajibiwa baada ya mwezi Mpaka usumbufu sana

When will we be smart ?
Wanakera sana
Britanicca
 
Waajiriwa wengi hawana weledi wa kujibu kwa haraka, sisi tunapiga moja kwa moja hawapokei Itakuwa emails? You are not serious man
Wao wanasemaga njoo branch unawaambia Sipo Tanzania wanasema oo tuma email
 
Tuna Tatizo sana hasa kwa watu wanaoishi nje ya Tanzania 🇹🇿

Unakuta Vodacom Mpesa wameweka whatsap number kwa ajili ya watu wanaoishi Nje ila unaweza andika ujumbe wa haraka kujibiwa inatumia week kujibu

Hata kwenye benk zetu Kama NBC na NMB hao ndo kabisa unaandika ujumbe emails zinajibiwa baada ya mwezi Mpaka usumbufu sana

When will we be smart ?
Wanakera sana
Britanicca
Ndugu email umeenda mbali sana, tuzungumzie customer care kwanza uko kwenye email ni levo za juu.

Wenzetu nchi zilizoendelea mtu anaishi mbali na huduma za jamii, au hana hata muda wakufika ofisini na simu yake ndio inamuweka karibu na huduma hizi apatapo changamoto
 
Ndugu email umeenda mbali sana, tuzungumzie customer care kwanza uko kwenye email ni levo za juu.

Wenzetu nchi zilizoendelea mtu anaishi mbali na huduma za jamii, au hana hata muda wakufika ofisini na simu yake ndio inamuweka karibu na huduma hizi apatapo changamoto
Hatari sana
 
Tuna Tatizo sana hasa kwa watu wanaoishi nje ya Tanzania 🇹🇿

Unakuta Vodacom Mpesa wameweka whatsap number kwa ajili ya watu wanaoishi Nje ila unaweza andika ujumbe wa haraka kujibiwa inatumia week kujibu

Hata kwenye benk zetu Kama NBC na NMB hao ndo kabisa unaandika ujumbe emails zinajibiwa baada ya mwezi Mpaka usumbufu sana

When will we be smart ?
Wanakera sana
Britanicca
Kuna wateja wanaenda physically lakini bado hawapati huduma bora.
 
Hazina uniformity, wengine wanajibu vizuri na fasta, wengine hawajibu kabisa, kwenye namba za simu ni heri kutumia email, nishawahi pokelewa simu alafu nawasikia wanaendelea kupiga stori

Kuhusu namba za tari, sio tu tari ni sekta kadhaa sjajua ttcl amekata huduma au wao wamegoma kuzitumia, Kuna soku nilipiga simu TFRA ilipokelewa lakini wakawa wanaendelea kupiga stori in the background huku mimi nikishia kusema halo! Habari! mpaka nikaamua kukata simu mwenyewe maana nilipiga kwenye namba ike ya mezani , zile za toll free ndo haziiti kabisa
 
Back
Top Bottom