Unaweweseka nini wewe mwanamke? Umejaa udini tu! JK alikuwa anajaza masheikh kuombewa dua ikulu, tatizo ni nini rais naye kuchagua ibada aitakayo?! Wewe ndo nathubutu kukuita mpumbavu, pumbavu kabisa!"Wapumbavu na malofa" - Mkapa
..vipi ukijua ilihali Mh. Rais Magufuli ni mfuasi wa "TB Joshua" yule usiyempenda halafu kaja!
Ujio wa prophet tbjoshua
pekupeku tanzania
Hivi kuvaa soksi bila viatu ni pekupeku nayo???
Hivi kuvaa soksi bila viatu ni pekupeku nayo???
Wajinga Ndiyo Waliwao
"Wapumbavu na malofa" - Mkapa
"Wapumbavu na malofa" - Mkapa
Sawa mkuu,kumbe alivaa soksi tupu hakuwa pekupeku?
Ujio wa Prophet T. B. Joshua
pekupeku Tanzania umenistaajabisha Sana. Kutembea pekupeku Kwenye nchi ya ugeni kuna maanisha nini?
Ni aina ya viatu vya kusafiria kwa wenye nazo wanapokuwa masafa marefu, hakiwa peku na hizo sio soksi, NIGERIA wakisikia hii kitu watatuona washamba sana, hata wakenya wanaweza wakatishangaa!
ili kuweka kumbukumbu sawa,kauli hiyo ilitolewa na rais mstaafu mkatoliki alipo kuwa akimnadi mkatoliki mwingine ambaye kwa sasa ndio rais wako/wetu.usiowapenda wanazidi kukutawala.chezeya mfumo kristu weye...teh teh teh