Kwanini stationeries hawatumii Linux mint au Ubuntu ambazo ni virus free?

Kwanini stationeries hawatumii Linux mint au Ubuntu ambazo ni virus free?

SubTopic

Senior Member
Joined
Sep 15, 2021
Posts
124
Reaction score
230
Issue ya virus kwenye windows inaweza sababisha ukapoteza document muhimu Sana hasa unapokuwa umezihifahi kwenye flash disk yako halafu ukaenda kuprint kwenye hizi stationeries ambazo wengi wao wanakuwa hawana strong anti virus kwa ajili ya kuprotect computers zao unajikuta baada ya kuprint unarudi na virus kwenye flash yako.

Nakumbuka niliwahi kupoteza document za maana nilipoenda kwenye stationery moja hivi Yan Kila kitu kikaliwa na virus. Kwanini wasitumie OS Kama Ubuntu au Linux mint ambazo hazishambuliwi na virus?
 
Windows itaendelea kutamba na kutesa forever.
Hayo ma OS mengine ni complicated unahitaji akiiiiiiili kuyatumia.
Kwakifupi hayako friendly hata mimi siyapendi ma ubuntu toka niko chuo nasoma CS
 
Issue ya virus kwenye windows inaweza sababisha ukapoteza document muhimu Sana hasa unapokuwa umezihifahi kwenye flash disk yako halafu ukaenda kuprint kwenye hizi stationeries ambazo wengi wao wanakuwa hawana strong anti virus kwa ajili ya kuprotect computers zao unajikuta baada ya kuprint unarudi na virus kwenye flash yako. Nakumbuka niliwahi kupoteza document za maana nilipoenda kwenye stationery moja hivi Yan Kila kitu kikaliwa na virus. Kwanini wasitumie OS Kama Ubuntu au Linux mint ambazo hazishambuliwi na virus?
Linapokuja suala la productivity hasa za maofisini Linux bado, Achana na Stationery, Nchi kubwa kubwa kama Ujerumani wamemwaga pesa nyingi sana kwenye Linux kureplace Windows maofisini ila wameshindwa na kurudi Windows.

Programs kama office sio friendly kwenye linux hasa linapokuja suala la compability. Ili urun Microsoft Office full utahitaji Linux na VM ya Windows so unarudi kule kule.
 
Linapokuja suala la productivity hasa za maofisini Linux bado, Achana na Stationery, Nchi kubwa kubwa kama Ujerumani wamemwaga pesa nyingi sana kwenye Linux kureplace Windows maofisini ila wameshindwa na kurudi Windows.

Programs kama office sio friendly kwenye linux hasa linapokuja suala la compability. Ili urun Microsoft Office full utahitaji Linux na VM ya Windows so unarudi kule kule.
Nadhan windows Wana la kufanya kuhusu viruses maana nalo ni janga
 
Hivi window defender ni genuine mkuu? Nikimaanisha ufanyaji kazi wa kiwango cha kaspersky?
 
Migahawa ya Wavuti mingi inahemea njaa,
Vi-mashine havina afya na vingi ni sekandihendi ndio ukavibebeshe ma-VM ya Debian?

Usalama una gharama kuanzia Vifaa na elimu ya kuvitumia.
Fikiria Mashine ni Mac, OS yake Linux (kama ulivyopendekeza)
Si usalama pekee bali hata Tija inakuwa juu lakini gharama zake ndio shida.

Yupo mjumbe kasema hayo ma OS mengine inabidi uwe na akiiiiiiili kuyatumia.
Asikilizwe tafadhali.
 
kwa hapa inataji muda kwanza kujifunza huko unakosema kwanini hawatumii ila kwenye baadhi ya tahasisi za kiserikali wanatumia kwa sasa
 
Niseme tu ni mazoe, sasa hivi kuna Linux OS zipo vzr sana ila kwa sababu tumeshamezeshwa Windows ndio hivyo tena, na vyuo vingi vya computer Basics zinafundisha Windows sasa ni ngumu kukuta Linux mtaani

kama ilivyo kwa watu kuamini OS nzuri ni Windows tu, kuna watu wanaamini magari mazuri ni Toyota tu na utatumia nguvu sana kumbadilisha.
 
Back
Top Bottom