Kwanini sisikii kesi za Wagombea Ubunge upinzani kudai kuibiwa ushindi?

Zaidi nasikia uchaguzi umeisha tufanye yajayo.

Miaka iliyopita watu walikuwa wanakwenda mahakamani kudai haki zao zilizopokonywa na wengine walishinda.

Je,
Hawana ushahidi?
Wamekubali yaishe?
Hawajaibiwa Bali wamepigwa kisawasawa?
Wanatishwa?
Wanatafakari kilichotokea?
Wanajiandaa kuunga Mkono juhudi?

None of the above?
Kwa kuzingatia hali ilivokuwa na ilivyo sishauri wafungue kesi.
 
Matokeo ndio hayana Sifa au uchaguzi. Je wapinzani hawa kuwa na uwezo wa kuforecast na kuamua kutoshiriki ili hiki kinachofanyika sasa (kutokudai hali kama wameonewa) kisifanyike ili wahamishie mashambulizi huko ICC na EU, US
Wasingeshiriki haya ungeyajuaje?
 
Ufipani wanafurahia utadhani kikombe kikipitishwa wao hawakinywi😁😁
Jiwe atakosa pesa za kuhonga mabarabarani tena, ili awabane vizuri watumishi kupitia TIN na walalahoi kupitia vitambulisho vya wamachinga. Tutalia sote safari hii.
 
Nchi inanjooka kwa namna Kama hii ..
Taifa lipo chini ya jemadali
Kwaheri upinzani , tunakaribisha vyama jirani
 
Zaidi nasikia uchaguzi umeisha tufanye yajayo.

Miaka iliyopita watu walikuwa wanakwenda mahakamani kudai haki zao zilizopokonywa na wengine walishinda.

Je,
Hawana ushahidi?
Wamekubali yaishe?
Hawajaibiwa Bali wamepigwa kisawasawa?
Wanatishwa?
Wanatafakari kilichotokea?
Wanajiandaa kuunga Mkono juhudi?

None of the above?
Hapakuwa na uchaguzi, sasa kesi za uchaguzi zitatoka wapi?
 
Back
Top Bottom