Kwa kuzingatia hali ilivokuwa na ilivyo sishauri wafungue kesi.Zaidi nasikia uchaguzi umeisha tufanye yajayo.
Miaka iliyopita watu walikuwa wanakwenda mahakamani kudai haki zao zilizopokonywa na wengine walishinda.
Je,
Hawana ushahidi?
Wamekubali yaishe?
Hawajaibiwa Bali wamepigwa kisawasawa?
Wanatishwa?
Wanatafakari kilichotokea?
Wanajiandaa kuunga Mkono juhudi?
None of the above?