Umeona wanachokifanya wananchi??Hilo ndio swali gani? yaani ni sawa na uulize kwenye mashindano fulani ya boxing kwanini bondia fulani anarusha ngumi nzito.
UTOPOLO mna tabu, ulitaka SIMBA aje kizembe? hizo ni mbinu za kocha, wachezaji ni wake na wamesajiliwa kwa ajili ya kucheza, alishaamua anataka vikombe vyote hivyo kuweni wapole.
Hapo sasa, yaani anatupangia na wachezaji wetu. Huyu mwehu kweliKwani hao wachezaji unaowaita first eleven kazi yao ni ipi? Wana mikataba kwa ajili ya kusakata kabumbu.
Ukijifanya una kikosi kipana utaishia kudhulumiana na Jamus FC ya wajaluo wa sudani kusini.
Kupanga ni kuchagua
3. Mashabiki wake wengi ni mbumbumbu, na wanapenda sana kulalamika hovyo. Kwa hiyo viongozi na benchi la ufundi wanalazimika kuwachezesha wachezaji wale wale kuka mechi, ili tu ushindi upatikane.Mabingwa wa mapinduzi cup hapa east Africa (Simba) mwaka huu nimeona wanaingiza kikosi full mkoko (first eleven) tofauti na miaka iliyopita
Hizi zaweza kuwa ni mojawapo ya sababu
1. Uoga, kocha anaogopa kufanya rotation sababu anaogopa lawama.
2. Pia msimu huu Simba haina uhakika wa kubeba kombe la ligi so wanachofanya ni Bora wabebe ubingwa wa mapinduzi.
NB: Je unahisi sababu zingine zaweza kuwa ni zipi?
3. Mashabiki wake wengi ni mbumbumbu, na wanapenda sana kulalamika hovyo. Kwa hiyo viongozi na benchi la ufundi wanalqzimika kuwachezesha wachezaji wale wale kuka mechi, ili tu ushindi upatikane.
Unauliza swali ambalo jibu lake liko wazi kabisa. Kwani mbadala wa hao wachezaji wako wapi? Unaweza ukaniambia alipo Mohamed Hussein na Enock Inonga? Wangekuwepo, wasingeqnza?Abdallah khamisi, Kennedy, Israel ni wachezaji ambao huwa wanaanza?
Sasa hawapo nitajuaje, hata kama mada ni ya kipuuzi kisa kaandika mwanayanga unakubaliana nayoUnauliza swali ambalo jibu lake liko wazi kabisa. Kwani mbadala wa hao wachezaji wako wapi? Unaweza ukaniambia alipo Mohamed Hussein na Enock Inonga? Wangekuwepo, wasingeqnza?
Kombe letu hili lingineUtateseka sana ila Simba ni matawi ya juu kaa kwa kutulia we chura wahed.
Mleta mada ni nyoka wa kijani. Kama wachezaji hawako timu ya taifa unataka wakae tu au wakauze bangi?? Mashindano haya huenda kocha anayatumia kwa kukijenga kikosi na utimamu wa mwili kwa wachezaji. First 11 iko kwenye akili yako tu ila mchezaji yeyote anaweza kuwa ktk first 11 kama ni wa club husika.Mabingwa wa mapinduzi cup hapa east Africa (Simba) mwaka huu nimeona wanaingiza kikosi full mkoko (first eleven) tofauti na miaka iliyopita
Hizi zaweza kuwa ni mojawapo ya sababu
1. Uoga, kocha anaogopa kufanya rotation sababu anaogopa lawama.
2. Pia msimu huu Simba haina uhakika wa kubeba kombe la ligi so wanachofanya ni Bora wabebe ubingwa wa mapinduzi.
NB: Je unahisi sababu zingine zaweza kuwa ni zipi?