Nionavyo Mimi hii ni ubinafsi tu na sio vingine mfano vyama shirikishi tuite hivyo sio upinzani wanapigwa vita utadhani ni kikundi cha uasi kutoka nje ya nchi huwezi amini kama ni watanzania wenzao ni laana kwani utampiga virungu but yote hayo yana mwisho utakufa na hutaenda na chochote. Na katika nchi hii MTU akiteuliwa kushika wadhifa wa uongozi anashukuru mno kumbe alistahili aseme tu nitashirikiana na wananchi kutatua matatizo yao kinyume utasikia Nashukuru sana .