Siyo kweli. Kufika walikuwa wanafika. Sema sherehe nyingi Magufuli hakufanya alisisitiza kubana matumizi. Na kufanya shughuli za kijamii kama usafi wa mazingira yetu. Na kipindupindu alikishinda. Miaka yake hakukuwahi kuwa na shida hiyo.Nimetazama sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar hakika yamefana.
Hili limenifanya kujiuliza hivi ni kwanini sherehe za uhuru au nyingine za kitaifa wakati wa Magufuli viongozi wa Afrika Mashariki walikuwa hawafiki?
Kuna wakati hata rafiki yake mkuu yaani Rais Museveni hakufika.
Tafadhali mwenye undani wa suala hili naomba anielimishe maana elimu haina mwisho.
Kumbuka unapowaita hao watu wewe ndiye unapaswa kuwapokea na jopo lao lote kuwapa usafiri wa ndani, malazi nk gharama zao wote na sherehe kwa ujumla ILITENGENEZA KIPANDE CHA BARABARA YA MWENGE HADI MOROCO.Nimetazama sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar hakika yamefana.
Hili limenifanya kujiuliza hivi ni kwanini sherehe za uhuru au nyingine za kitaifa wakati wa Magufuli viongozi wa Afrika Mashariki walikuwa hawafiki?
Kuna wakati hata rafiki yake mkuu yaani Rais Museveni hakufika.
Tafadhali mwenye undani wa suala hili naomba anielimishe maana elimu haina mwisho.
Wewe Kwa akili Yako ,yule mtu wenu alikuwa na ushirikiano na nani?Nimetazama sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar hakika yamefana.
Hili limenifanya kujiuliza hivi ni kwanini sherehe za uhuru au nyingine za kitaifa wakati wa Magufuli viongozi wa Afrika Mashariki walikuwa hawafiki?
Kuna wakati hata rafiki yake mkuu yaani Rais Museveni hakufika.
Tafadhali mwenye undani wa suala hili naomba anielimishe maana elimu haina mwisho.
Kwani Kuna tatizo gani? Na hata akiwaita walikuwa Hawaii Kwa sababu mtu wenu yule alikuwa hamnazo.Kumbuka unapowaita hao watu wewe ndiye unapaswa kuwapokea na jopo lao lote kuwapa usafiri wa ndani, malazi nk gharama zao wote na sherehe kwa ujumla ILITENGENEZA KIPANDE CHA BARABARA YA MWENGE HADI MOROCO.
Jiulize ni kipi bora, waje kupunga mikono hewani au Ujenge miundombinu?
Sasa kama unajua sabab umeleta uzi wa nini????Magufulii alitengwa kwa tabia zake
Mkuu umeskika, ukiona mtu anashindana na Mfu/Marehemu ni ishara ya ama Uoga, Ama Uchawi au Mgonjwa wa akili. Wewe ni mental case yanipasa kunyamaza!Kwani Kuna tatizo gani? Na hata akiwaita walikuwa Hawaii Kwa sababu mtu wenu yule alikuwa hamnazo.
Wengi wanaanzia wangapi? Halafu wakifika wengi au wachache faida na hasara zake ni zipi?Nimetazama sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar hakika yamefana.
Hili limenifanya kujiuliza hivi ni kwanini sherehe za uhuru au nyingine za kitaifa wakati wa Magufuli viongozi wa Afrika Mashariki walikuwa hawafiki?
Kuna wakati hata rafiki yake mkuu yaani Rais Museveni hakufika.
Tafadhali mwenye undani wa suala hili naomba anielimishe maana elimu haina mwisho.
😄🤣😁😃Magufulii alitengwa kwa tabia zake
Hilo swali linatusaidia nini kwa Sasa..So what..!!?? Achana na Mzee wa watu...stupidddd..Nimetazama sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar hakika yamefana.
Hili limenifanya kujiuliza hivi ni kwanini sherehe za uhuru au nyingine za kitaifa wakati wa Magufuli viongozi wa Afrika Mashariki walikuwa hawafiki?
Kuna wakati hata rafiki yake mkuu yaani Rais Museveni hakufika.
Tafadhali mwenye undani wa suala hili naomba anielimishe maana elimu haina mwisho.
Sio swala.la.kushindana na marehemu ni kuweka rekodi sawa Ili Wengine wajifunzeMkuu umeskika, ukiona mtu anashindana na Mfu/Marehemu ni ishara ya ama Uoga, Ama Uchawi au Mgonjwa wa akili. Wewe ni mental case yanipasa kunyamaza!
Kama sababu unayo unamuuliza nani Sasa hapa....kakae na sabab zako kuleInawezekana ila bado siyo sababu
Nani amekwambia anataka kujifunza..ili iweje ukishajifunza, ili waje au??....nenda na utumbo wako kuleSio swala.la.kushindana na marehemu ni kuweka rekodi sawa Ili Wengine wajifunze
Mental case kabisa...huyu inawezekana ni Kati ya Yale mafisadi papa..yanatafuta sehemu ya kuondoka stress zao za kufilisiwaMkuu umeskika, ukiona mtu anashindana na Mfu/Marehemu ni ishara ya ama Uoga, Ama Uchawi au Mgonjwa wa akili. Wewe ni mental case yanipasa kunyamaza!
Wewe kama hutaki wenzako wanataka.Nani amekwambia anataka kujifunza..ili iweje ukishajifunza, ili waje au??....nenda na utumbo wako kule
Achana na chizzii huyoKumbuka unapowaita hao watu wewe ndiye unapaswa kuwapokea na jopo lao lote kuwapa usafiri wa ndani, malazi nk gharama zao wote na sherehe kwa ujumla ILITENGENEZA KIPANDE CHA BARABARA YA MWENGE HADI MOROCO.
Jiulize ni kipi bora, waje kupunga mikono hewani au Ujenge miundombinu?