MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
Watumishi wa umma waliambiwa wasubiri suala uhakiki ni la muda mfupi ili maslahi yao yatazamwe sambamba na ajira kwa watumishi wapya lakini hadi sasa matamko ni mengi, katibu mkuu utumishi anasema yake,waziri nae anasema yake.
Serikali ilisema tuwachangie ndugu zetu wa Kagera kwa kila anayekugwa kwa wahanga hao kubomolewa nyumba na tetemeko hilo, Lakini serikali ikasema kila moja abebe msalaba wake.
Serikali ilisema itapanga ada elekezi kwa shule zote binafsi na serikali lakini juzi tukaambiwa kuwa ada kwa shule binafsi ni makubaliano kati ya mmiliki wa shule na mzazi.
Serikali kupitia taasisi yake ya EWURA ikasema inapandisha gharama za Umeme, lakini akajibu waziri kwa kusema hakuna umeme kupanda.
Serikali ilisema kuwa itahakikisha itafanya kila jitihada kunusuru bei ya sukari kupanda ikiwa ni pamoja na kuagiza sukari ya kutosha kutoka nje, lakini mpaka sasa sukari ni zaidi ya Tshs 2400.
Serikali ilisema tuwachangie ndugu zetu wa Kagera kwa kila anayekugwa kwa wahanga hao kubomolewa nyumba na tetemeko hilo, Lakini serikali ikasema kila moja abebe msalaba wake.
Serikali ilisema itapanga ada elekezi kwa shule zote binafsi na serikali lakini juzi tukaambiwa kuwa ada kwa shule binafsi ni makubaliano kati ya mmiliki wa shule na mzazi.
Serikali kupitia taasisi yake ya EWURA ikasema inapandisha gharama za Umeme, lakini akajibu waziri kwa kusema hakuna umeme kupanda.
Serikali ilisema kuwa itahakikisha itafanya kila jitihada kunusuru bei ya sukari kupanda ikiwa ni pamoja na kuagiza sukari ya kutosha kutoka nje, lakini mpaka sasa sukari ni zaidi ya Tshs 2400.