alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
RM kwa maoni yangu naona kwa sasa yupo huru mno na anafuraha sana ya moyo hasa tokea akutane na Mheshimiwa Rais.
RM huyo kwa sasa anatumia muda mwingi kuwepo Nchini kuliko wakati wowote ule tokea alipokwaruzana na kina Nape na wenziye wakati ule.
Kwa nini wakati huu?
Kuna kila dalili RM anaandaliwa awe mlipa Kodi mkubwa wa Nchi yetu.Dhanio langu pia kuwa RM alijishusha kwa JPM na aliahidiwa uungwaji mkono wa Serikali endapo atakuwa muwazi na mlipa Kodi sahihi.
Natarajia uhuru zaidi wa RM wa biashara zake hapa Nchini.
RM huyo kwa sasa anatumia muda mwingi kuwepo Nchini kuliko wakati wowote ule tokea alipokwaruzana na kina Nape na wenziye wakati ule.
Kwa nini wakati huu?
Kuna kila dalili RM anaandaliwa awe mlipa Kodi mkubwa wa Nchi yetu.Dhanio langu pia kuwa RM alijishusha kwa JPM na aliahidiwa uungwaji mkono wa Serikali endapo atakuwa muwazi na mlipa Kodi sahihi.
Natarajia uhuru zaidi wa RM wa biashara zake hapa Nchini.