Wajuvi wa haya magari, hebu nijulisheni, mara nyingi nimekuwa nikiona rav 4 hasa zilizoanza kuchoka zikiwa na tege kwenye tairi, hii ni kutokana na nini? Je inarekebishika?
Wajuvi wa haya magari, hebu nijulisheni, mara nyingi nimekuwa nikiona rav 4 hasa zilizoanza kuchoka zikiwa na tege kwenye tairi, hii ni kutokana na nini? Je inarekebishika?
Wajuvi wa haya magari, hebu nijulisheni, mara nyingi nimekuwa nikiona rav 4 hasa zilizoanza kuchoka zikiwa na tege kwenye tairi, hii ni kutokana na nini? Je inarekebishika?
Wajuvi wa haya magari, hebu nijulisheni, mara nyingi nimekuwa nikiona rav 4 hasa zilizoanza kuchoka zikiwa na tege kwenye tairi, hii ni kutokana na nini? Je inarekebishika?
Gari ni matunzo n matengenezo mimi ninatumia toka mwaka juzi napita rough road ambayo ni mbaya sana km 26 ikiwa na rasta gari haijapata matege.rav4 ni imara sana ukiona hivyo jua mwenye nayo hafanyi matengenezo
Wajuvi wa haya magari, hebu nijulisheni, mara nyingi nimekuwa nikiona rav 4 hasa zilizoanza kuchoka zikiwa na tege kwenye tairi, hii ni kutokana na nini? Je inarekebishika?
Sio tatizo la rav 4, ni tatizo la matunzo! Zipo gari aina nyingi tu zinapata matege kwa kukosa matunzo, na zipo rav 4 za miaka mingi sana zinazotunzwa, hazijapata matege.