figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Zanzibar ni nchi?Heshima kwenu wakuu,
Naomba kujua kwanini rais wa Zanzibar hapongezi, hafurahii wala haongelei chochote kuhusu ndege zinazonunuliwa.
Je hashirikishwi?
Je, Hanufaiki nazo?
Mimi naona aibu kila ndege zinapokuja wanapiga picha watu wote Serikalini isipokuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Mimi siri ya Zanzibar kutokuunga mkono juhudi za rais wetu? Au hawamtaki?
Nadhani huu ndo mwanzo, wameanza kijitenga kwenye maswala ya maendeo
Kwani Usafirishaji na Uchukuzi ni Union Matters?Heshima kwenu wakuu,
Naomba kujua kwanini rais wa Zanzibar hapongezi, hafurahii wala haongelei chochote kuhusu ndege zinazonunuliwa.
Je hashirikishwi?
Je, Hanufaiki nazo?
Mimi naona aibu kila ndege zinapokuja wanapiga picha watu wote Serikalini isipokuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Mimi siri ya Zanzibar kutokuunga mkono juhudi za rais wetu? Au hawamtaki?
Nadhani huu ndo mwanzo, wameanza kijitenga kwenye maswala ya maendeo
Umeandika nini hapa?usicheze na karma inamsumbua sana yule mzee sema basi tu .. umri ule na dini ya uislam na kitu alichofanya sio poa kabisa.. nafsi inamsuta sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo aache shughuli zake aje kupoteza muda kufanya ishu ambayo anaweza kuifanya si PM bali Katibu mkuu wa wizara,Heshima kwenu wakuu,
Naomba kujua kwanini rais wa Zanzibar hapongezi, hafurahii wala haongelei chochote kuhusu ndege zinazonunuliwa.
Je hashirikishwi?
Je, Hanufaiki nazo?
Mimi naona aibu kila ndege zinapokuja wanapiga picha watu wote Serikalini isipokuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Mimi siri ya Zanzibar kutokuunga mkono juhudi za rais wetu? Au hawamtaki?
Nadhani huu ndo mwanzo, wameanza kijitenga kwenye maswala ya maendeo
Umemjibu vizuri mkuu.Akishakuwepo Da Samia inatosha sana kuwakilisha ZNZ