Hizi Sherehe ni za kuuzia sura tu sio za kuongea ongeaWataalam wa siasa na wanasiasa njooni hapa mtoe majibu kwa hili swali langu rahisi
1.Hivi ni kwanini Rais Kikwete hakuongea na wananchi leo siku ya Muungano na ni maadhimisho yake ya mwisho akiwa kama rais?
Umempa jibu sahihi, sikukuu za Muungano huwa hazina hotuba.hajawahi kufanya hivyo katika sikukuu ya muungano wala haogopi sasa amwogope nani mbowe?au ........
hajawahi kufanya hivyo katika sikukuu ya muungano wala haogopi sasa amwogope nani mbowe?au ........
hajawahi kufanya hivyo katika sikukuu ya muungano wala haogopi sasa amwogope nani mbowe?au ........
Hivi mkuu hatakiwa hata kutamka neno la kuutakia kheri huo muungano wala kuyataja mafanikio na changamoto kama zipo?Huwa hakuna hotuba siku ya muungano wala siku ya uhuru.