Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,435
- 1,195
Yani akili ndo imeunda pesa Lakin kwa Sasa kama huna pesa na una akili we si lolote katika ulimwengu huu.
Ipo mijadala kadhaa kua kwa Sasa licha ya akili ndo imeunda pesa lakini wale watu maginius duniani kwa sasa hawavumi kwa sababu wamemezwa na pesa.
Kwa ndugu msomsji wa makala hii fupi jua kua kama huna pesa na unaijua ni ginius huna lolote.
Hata hivyo kwa nini akili isijitutumuee upya ikarejesha heshima yake?
Karibu kwa mjadala
Ipo mijadala kadhaa kua kwa Sasa licha ya akili ndo imeunda pesa lakini wale watu maginius duniani kwa sasa hawavumi kwa sababu wamemezwa na pesa.
Kwa ndugu msomsji wa makala hii fupi jua kua kama huna pesa na unaijua ni ginius huna lolote.
Hata hivyo kwa nini akili isijitutumuee upya ikarejesha heshima yake?
Karibu kwa mjadala