Kwanini Pasco wa JF anaficha sababu alizoambiwa 2014 kuwa zitampeleka Magufuli Ikulu?

Kwanini Pasco wa JF anaficha sababu alizoambiwa 2014 kuwa zitampeleka Magufuli Ikulu?

DR.RWEYENDERA

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2013
Posts
403
Reaction score
386
Miongoni mwa sababu ambazo watu wanadhani zilinfanya magufuli aingie Ikulu
Kutokana na watu wengi kila mmoja kujiuliza hasa nisababu zipi aliambiwa pasco wa jamiiforums mwaka 2014 kuwa lazima mgombea wa CCM 2015 ni JOHN POMBE MAGUFULI , naye amezificha sana na kwenye thread yake alionekana kuzishangaa zile sababu, lakin nahisi kati ya hizi hapa chini kuna miongoni,

1. Tanzania ilikuwa imekuwa ya mazoea ilihitaji rais MWENYE hurka ya udikteta kwenye masuala muhim hasa ya maendeleo, rushwa na uwajibikaji

2. Mzee kikwete na mkapa walijuta na kutambua madhara ya mtandao kuaandaana kuingia Ikulu hivyo wakamuandaa Magufuli kimyakimya ili kuondoa ukakasi wa wenye mitandao yao kuingia ikulu?

3. Labda ni kwakuwa kanda ya ziwa iliyokuwa ngome ya CCM ilishaanza kuingiliwa na CHADEMA ,wakaamua watumie turufu ya mtu kutoka uko ili wakazi wa kule wengi wampigie kura kuinusuru CCM

4.Au labda wanachama wengi wa CCM walioonekana kutaka uongozi hawakuwa wasafi na ingekuwa ngumu kuwanadi kuliko kumnadi Magufuli?

5. Naamini wapo wanaoamini Mkapa ndiye amesuka mpango huu wa siku nyingi kutokana na urafiki wake na Magufuli ambao ukisababishwa na Mdogo wake mkapa kwa Magufuli classmate wake KATOKE seminary,

6. Wengine wanahisi ilikuwa chaguo La kikwete na mkapa kuwa tumuweke magufuli ili akiingia awashughulikie mafisadi ila sisi asituguse na tunamuonya mapema, mambo ya meremeta, na mengine yanayo wahusu yasiguswe,

7. Wapo wanaoamini utendaji wa magufuli ndio umemfanya aonekane anafaa kuongoza taifa ili maana ana rekodi kuzidi mawaziri wote waliowahi kutokea Tanzania,

8. Wapo wanaoona kwakuwa Magufuli anaonekana hapendi safari za nje si kwa kujitakia ila ni mpango na kikwete kwamba kamuweka ili yeye aendelee kupiga kazi za ndani kikwete aendelee kukwea pipa kimataifa,

9. Wengine wanaamini hakukuwa na mpango wowote ila tu alijaribu kama wanachama wengine ambao walijaribu ila yeye akabebwa na rekodi yake ya utendaji,

We unahisi hapo juu kuna sababu yeyote ambayo pasco aliambiwa akaificha hataki kutwambia?

Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
 
Mkuu umespeculate sana na ukaongeza na mengine yasiyo msadifu huyu jamaa! hivi ni kweli kwamba Magufuli ndiye pekee aliwahi kuwa waziri bora nchini tangu uhuru? how credible are you??
Ngoja nimsubiri mkuu Pasco naye atoe yake.
Ni vema mkuu uturekebishe nani hasa aliwahi kuwa waziri bora wa muda wote
 
Mkuu umespeculate sana na ukaongeza na mengine yasiyo msadifu huyu jamaa! hivi ni kweli kwamba Magufuli ndiye pekee aliwahi kuwa waziri bora nchini tangu uhuru? how credible are you??
Ngoja nimsubiri mkuu Pasco naye atoe yake.
Pasco aligoma kuja
 
Nadhani na ndio nasimamia hapo, ni uchapakazi wake, hana makundi na ilikuwa rahisi kumnadi kwa kupambana na EL: Ccm waliharibu sana ilibidi watafute mtu ataenyoosha mambo! Na ile kata kata yao....ikaacha wajumbe wana hasira sana na kuhamia kwa Pombe! Badala kuweka kwa wale wanawake wa JK! Pia naona kama system ianze upya kuwapika vijana sasa naona huko mbele twahitaji rahisi aliepikwa sio kuja kumkurupua mtu asiyejua uongozi wala hana busara za kushauriwa! Urais ni taasisi sio one man show!
Miongoni mwa sababu ambazo watu wanadhani zilinfanya magufuli aingie Ikulu
Kutokana na watu wengi kila mmoja kujiuliza hasa nisababu zipi aliambiwa pasco wa jamiiforums mwaka 2014 kuwa lazima mgombea wa CCM 2015 ni JOHN POMBE MAGUFULI , naye amezificha sana na kwenye thread yake alionekana kuzishangaa zile sababu, lakin nahisi kati ya hizi hapa chini kuna miongoni,
1. Tanzania ilikuwa imekuwa ya mazoea ilihitaji rais MWENYE hurka ya udikteta kwenye masuala muhim hasa ya maendeleo, rushwa na uwajibikaji
2. Mzee kikwete na mkapa walijuta na kutambua madhara ya mtandao kuaandaana kuingia Ikulu hivyo wakamuandaa Magufuli kimyakimya ili kuondoa ukakasi wa wenye mitandao yao kuingia ikulu?
3. Labda ni kwakuwa kanda ya ziwa iliyokuwa ngome ya CCM ilishaanza kuingiliwa na CHADEMA ,wakaamua watumie turufu ya mtu kutoka uko ili wakazi wa kule wengi wampigie kura kuinusuru CCM
4.Au labda wanachama wengi wa CCM walioonekana kutaka uongozi hawakuwa wasafi na ingekuwa ngumu kuwanadi kuliko kumnadi Magufuli?
5. Naamini wapo wanaoamini Mkapa ndiye amesuka mpango huu wa siku nyingi kutokana na urafiki wake na Magufuli ambao ukisababishwa na Mdogo wake mkapa kwa Magufuli classmate wake KATOKE seminary,
6. Wengine wanahisi ilikuwa chaguo La kikwete na mkapa kuwa tumuweke magufuli ili akiingia awashughulikie mafisadi ila sisi asituguse na tunamuonya mapema, mambo ya meremeta, na mengine yanayo wahusu yasiguswe,
7. Wapo wanaoamini utendaji wa magufuli ndio umemfanya aonekane anafaa kuongoza taifa ili maana ana rekodi kuzidi mawaziri wote waliowahi kutokea Tanzania,
8. Wapo wanaoona kwakuwa Magufuli anaonekana hapendi safari za nje si kwa kujitakia ila ni mpango na kikwete kwamba kamuweka ili yeye aendelee kupiga kazi za ndani kikwete aendelee kukwea pipa kimataifa,
9. Wengine wanaamini hakukuwa na mpango wowote ila tu alijaribu kama wanachama wengine ambao walijaribu ila yeye akabebwa na rekodi yake ya utendaji,

We unahisi hapo juu kuna sababu yeyote ambayo pasco aliambiwa akaificha hataki kutwambia?
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
 
Kwa mbali naungana na Sababu namba 5. Ukweli ninaoujua ni kwamba waliomuandaa Magufuli kuwa mgombea wa CCM 2015 ni Mzee Mkapa, Cardinal Pengo (Catholic Church).

Mkakati huo ulimhusisha kwa ukaribu DG mstaafu wa TISS Rashid Othman aliyepewa jukumu la kuhakikisha Lowassa (adui wa JK) na Membe (kipenzi cha familia ya JK) wakisuguana to the maximum.

Huu ugomvi wa EL na BM ulikuwa wa kimkakati zaidi maana JPM alipoitwa pale Mbweni na Mkapa na Othman aliambiwa, "kazi yako ni moja tu, uwe mnyenyekevu to the maximum kwa JK " maana alishaanza kuwa lame duck president. Msuguano huu ulikuwa na maana 2

(1) ni kumficha Magufuli asionekane katika vyombo vya habari ili madudu yake yasijadiliwe. Ndio maana tunaweza kuona ufisadi wa Magufuli umekuja kujadiliwa akiwa tayari ni mgombea. Wengi walibaki kujadili Richmond na Mapesa ya Ghaddafi.

(2). Ikijulikana kuwa iwavyovyote JK atamkata tu ENL mwanzo kabisa. Kukatwa kwa Lowassa na Membe kuingia 5 bora ilikuwa ni hatua moja mbele ya mafanikio kwa Mkapa, Pengo na Rashid ambaye hakumkubali JK.

Kwa kuwa ilikuwa wazi miamba iliyokuwa ikichuana ni BM na EL na mmoja keshakatwa ilikuwa rahisi kwa Mkapa kumshauri JK, "chama kitakufia mkononi ukimkata Lowassa usimbakishe Membe, naye mtoe tubaki na chama" huku team Lowassa ikielekeza nguvu yake kwa Amina Salum Ali kumkomoa JK.

JK alipoomba ushauri kwa TISS (DG) afanye nini akajikuta anapeleka kesi ya ngedere kwa nyani. Huko nako akajibiwa hivyo hivyo. Kwa maneno yake DG alimwambia, "bosi fumba macho, mng'ate jongoo kwa meno, mwondoe Membe kama unataka ccm ibaki salama." Kwa mpango huu na kwa uchungu mkubwa JK akamtosa BM mgombea Urais aliyetegemewa na Marekani na nchi za Magharibi.

Tukumbuke JK alishamtambulisha BM duniani kuanzia kwa Obama na Puttin kuwa ndiye mrithi wake. Tutakumbuka ujio wa Puttin nchini ulivyoyeyuka baada ya BM kukosa Urais. Ndiomaana msishangae JPM kukwepa safari za nje hasa Marekani, hana mwenyeji.

Kwa staili hii Magufuli akajikuta amebaki mwanaume pekee katika 3 bora katika jamii ambayo haijawa tayari kuongozwa na mwanamke. Hivyo ni rahisi kusema Magufuli aliandaliwa na watu kuwa Rais lkn binafsi hakujiandaa hata kisaikolojia kuwa Mkuu wa nchi.

Sababu za Mkapa na Pengo kumuandaa Magufuli ni hali ya nchi ilipofikia mambo kwenda hovyo, ufisadi na rushwa kila mahali na kwamba angetakiwa mtu arrogant anyoshe mambo Walau hata kwa awamu moja tu. Hivyo JPM hata akikosa Urais 2020 atafurahi tu, hana cha kupoteza.
 
Jakasaye umejaribu kuelezea vizuri lakini Mwenyekiti wa Chama amehusika sana kwa uwepo wa JPM.
Mkakati ulishaandaliwa kuwa team EL wana nguvu ndani ya chama hvyo akaandaliwa BM kuwa 'fake competitor' wa team EL ili kuzifanya team hizi ziwe busy kuchuana na kuchafuana wakati nyuma ya pazia 'mwali' aliyesukwa kimya kimya akizidi kuchanja mbuga.
Ndio maana mpaka leo Prof Mwandosya analalamika kuwa Mwenyekiti aliingia na majina yake matano mfukoni kupigiwa kura na wajumbe, na hapo yapaswa kujiuliza kwanini hao candidates watano ndio walionekana kufaa?? why not others!!?.. . Na kama swala lilikuwa kumuweka BM awe mgombea pekee kwanini aliingia tano bora na Magufuli ilihali Magu anakubalika zaidi ktk utendaji kazi?? Kwann BM asingewekwa with other candidates ambao hawatampa ushindani ndani ya tano bora? Ukiweza kung'amua hayo maswali basi utabaini kuwa picha inaonesha dhahiri
Kifupi tu uwepo wa JPM ni mpango mkakati uliosukwa na Mwenyekiti.

U cant ignore the power of JK ktk maamuzi ya juu ndani ya chama.
JK is the master of local and international politics..!!!
 
Ahsante Jambazi. Huo ni ukweli ambao hata Mkulu hawezi kuukanusha. Ukweli utakuweka huru. Naomba usiniulize interest ya Pengo kwa Magufuli. BTW ni yake kama Pengo si Kanisa. Anajua yeye lkn nadhani ni nia njema kwa uozo unatumbuliwa na Serikali awamu ya 5. Tusimlaumu Mkulu kutosafiri kwa Sababu za kubana matumizi mara wengine sijui lugha sijui nini. Tatizo ni kuwa kabla ya kuwa Rais lzm uwe introduced kwa wakubwa wakupokee hiyo ndio dunia ya sasa.
 
Ahsante Jambazi. Huo ni ukweli ambao hata Mkulu hawezi kuukanusha. Ukweli utakuweka huru. Naomba usiniulize interest ya Pengo kwa Magufuli. BTW ni yake kama Pengo si Kanisa. Anajua yeye lkn nadhani ni nia njema kwa uozo unatumbuliwa na Serikali awamu ya 5. Tusimlaumu Mkulu kutosafiri kwa Sababu za kubana matumizi mara wengine sijui lugha sijui nini. Tatizo ni kuwa kabla ya kuwa Rais lzm uwe introduced kwa wakubwa wakupokee hiyo ndio dunia ya sasa.
Kwa maelezo haya Tanzania ya viwanda itapatikana!
 
Tyc, nimekuelewa. Kwa nini Magu aliingia 5bora? Kwa mujibu wa kanuni za chama zilizoongoza kamati ya Mangula ni kwamba,
(1) January aliingia kuwakilisha vijana baada ya Mwigulu kuondolewa kwa kujitangaza kabla ya wakati.
(2) BM aliingia kuwakilisha umri wa watu wazima yaani miaka 55-60
(3) JPM aliingia kuwakilisha umri wa watu wa makamo yani 46-55
(4) Migiro aliingia kuwakilisha jinsia
(5) Amina Salum aliingia ku-balance muungano.

Tyc bahati nzuri nilikuwa jirani mno na mipango hii. JK alizidiwa maji na Mkapa na ndio maana unaweza kuona kitu ambacho hakijawahi kutokea kwa CCM kwamba mgombea anapotangazwa mkutano mkuu hunyanyuka na kwenda kumkumbatia M/kiti wa chama lkn JPM alinyanyuka akamtafuta Mkapa na kumkumbatia then Mangula ndipo akamtafuta Jakaya. Ukweli ni kwamba the line inayomtenga JPM na JK ulikuwa ni mgumu kabla ya kufuatwa ofisini Ikulu kuondoa tofauti.

JK ni mwanasiasa makini na mjuzi wa fitna lkn kwa Magu alizidiwa na Mkapa na Tiss. Jiulize hadi leo kwa nini bado kila safari za nje hata ya UN ni lazima BM awe pembeni? Niishie hapo nisizingirwe.
 
Jakasaye umejaribu kuelezea vizuri lakini Mwenyekiti wa Chama amehusika sana kwa uwepo wa JPM.
Mkakati ulishaandaliwa kuwa team EL wana nguvu ndani ya chama hvyo akaandaliwa BM kuwa 'fake competitor' wa team EL ili kuzifanya team hizi ziwe busy kuchuana na kuchafuana wakati nyuma ya pazia 'mwali' aliyesukwa kimya kimya akizidi kuchanja mbuga.
Ndio maana mpaka leo Prof Mwandosya analalamika kuwa Mwenyekiti aliingia na majina yake matano mfukoni kupigiwa kura na wajumbe, na hapo yapaswa kujiuliza kwanini hao candidates watano ndio walionekana kufaa?? why not others!!?.. . Na kama swala lilikuwa kumuweka BM awe mgombea pekee kwanini aliingia tano bora na Magufuli ilihali Magu anakubalika zaidi ktk utendaji kazi?? Kwann BM asingewekwa with other candidates ambao hawatampa ushindani ndani ya tano bora? Ukiweza kung'amua hayo maswali basi utabaini kuwa picha inaonesha dhahiri
Kifupi tu uwepo wa JPM ni mpango mkakati uliosukwa na Mwenyekiti.

U cant ignore the power of JK ktk maamuzi ya juu ndani ya chama.
JK is the master of local and international politics..!!!
This makes a lot of sense, mkuu.
 
Kwa maelezo haya Tanzania ya viwanda itapatikana!

Kwa mtazamo wangu bado itamchukua muda JPM kufikia malengo kwa sababu kwanza anapambana na nafsi yake binafsi ya kuamini kama kweli ni mkuu wa nchi. Rejea clip alipoulizwa na Kitwanga achukue fomu ya kugombea Urais alijibu nini? "Aaaa we acha, nikiwa mimi si watalimia meno watu". Hakuwa na mpango wa Urais. Jiulize tena swali la kijinga kwa nini hajakagua gwaride? Bado kuna mambo mengi Rais wetu anatakiwa kujifunza ndipo aqualifai kufanikisha mambo mengi na zaidi atambue kuwa Urais ni taasisi si mtu jambo ambalo bado linampa shida. Hii ndio sababu ya matamko yake kuwa na madhara.
 
Tyc, nimekuelewa. Kwa nini Magu aliingia 5bora? Kwa mujibu wa kanuni za chama zilizoongoza kamati ya Mangula ni kwamba,
(1) January aliingia kuwakilisha vijana baada ya Mwigulu kuondolewa kwa kujitangaza kabla ya wakati.
(2) BM aliingia kuwakilisha umri wa watu wazima yaani miaka 55-60
(3) JPM aliingia kuwakilisha umri wa watu wa makamo yani 46-55
(4) Migiro aliingia kuwakilisha jinsia
(5) Amina Salum aliingia ku-balance muungano.

Tyc bahati nzuri nilikuwa jirani mno na mipango hii. JK alizidiwa maji na Mkapa na ndio maana unaweza kuona kitu ambacho hakijawahi kutokea kwa CCM kwamba mgombea anapotangazwa mkutano mkuu hunyanyuka na kwenda kumkumbatia M/kiti wa chama lkn JPM alinyanyuka akamtafuta Mkapa na kumkumbatia then Mangula ndipo akamtafuta Jakaya. Ukweli ni kwamba the line inayomtenga JPM na JK ulikuwa ni mgumu kabla ya kufuatwa ofisini Ikulu kuondoa tofauti.

JK ni mwanasiasa makini na mjuzi wa fitna lkn kwa Magu alizidiwa na Mkapa na Tiss. Jiulize hadi leo kwa nini bado kila safari za nje hata ya UN ni lazima BM awe pembeni? Niishie hapo nisizingirwe.
He he umeeleza vema
 
Tyc, nimekuelewa. Kwa nini Magu aliingia 5bora? Kwa mujibu wa kanuni za chama zilizoongoza kamati ya Mangula ni kwamba,
(1) January aliingia kuwakilisha vijana baada ya Mwigulu kuondolewa kwa kujitangaza kabla ya wakati.
(2) BM aliingia kuwakilisha umri wa watu wazima yaani miaka 55-60
(3) JPM aliingia kuwakilisha umri wa watu wa makamo yani 46-55
(4) Migiro aliingia kuwakilisha jinsia
(5) Amina Salum aliingia ku-balance muungano.

Tyc bahati nzuri nilikuwa jirani mno na mipango hii. JK alizidiwa maji na Mkapa na ndio maana unaweza kuona kitu ambacho hakijawahi kutokea kwa CCM kwamba mgombea anapotangazwa mkutano mkuu hunyanyuka na kwenda kumkumbatia M/kiti wa chama lkn JPM alinyanyuka akamtafuta Mkapa na kumkumbatia then Mangula ndipo akamtafuta Jakaya. Ukweli ni kwamba the line inayomtenga JPM na JK ulikuwa ni mgumu kabla ya kufuatwa ofisini Ikulu kuondoa tofauti.

JK ni mwanasiasa makini na mjuzi wa fitna lkn kwa Magu alizidiwa na Mkapa na Tiss. Jiulize hadi leo kwa nini bado kila safari za nje hata ya UN ni lazima BM awe pembeni? Niishie hapo nisizingirwe.
Umean BM mkubwa -Mkapa au BM-Mdogo Bakari Member
 
Back
Top Bottom