Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,914
- 6,033
Jana kuna tukio lilitokea na kujirudia kama lilivyotokea miaka 11 iliyopita.
Miaka 11 iliyopita Simba ilimgaraza Yanga magoli 5-0. Emanuel Okwi akiwa kashatupia goli mbili, Simba wakapata penati katika hali ya kushangaza penati ile akapewa Kaseja na akafunga. Ikamnyima Okwi hat-trick.
Jana Max Nzengeli akiwa tayari kashafunga bao mbili Yanga wakapata penati na kama ilivyotokea miaka 11 iliyopita, Nzengeli akanyimwa kuandika hat trick yake katika derby ya Kariakoo na badala yake akapewa Pacome.
Je, kuna namna hawataki rekodi ya Kibadeni ivunjwe? Abdallah Kibadeni anabakia mchezaji pekee kuwahi kufunga hat trick katika derby ya Kariakoo.
Miaka 11 iliyopita Simba ilimgaraza Yanga magoli 5-0. Emanuel Okwi akiwa kashatupia goli mbili, Simba wakapata penati katika hali ya kushangaza penati ile akapewa Kaseja na akafunga. Ikamnyima Okwi hat-trick.
Jana Max Nzengeli akiwa tayari kashafunga bao mbili Yanga wakapata penati na kama ilivyotokea miaka 11 iliyopita, Nzengeli akanyimwa kuandika hat trick yake katika derby ya Kariakoo na badala yake akapewa Pacome.
Je, kuna namna hawataki rekodi ya Kibadeni ivunjwe? Abdallah Kibadeni anabakia mchezaji pekee kuwahi kufunga hat trick katika derby ya Kariakoo.