Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Nyerere alikuwa ni mtu wa kusoma sana habari za wengine,kwa vile alikuwa mjamaa na alipenda nchi ya kijamaa..nchi ambayo watu wanapimiwa uhuru wa fikra kwa kijiko,uhuru wa habari kwa kijiko.Yeye na CCM yake walitengeneza taifa ambalo vyombo vya dola na vitengo ndio wakwa km moderator wa uhuru,fikra na habari gani watz waione.
Moderator mkuu akiwa Nyerere...Nyerere alijua day sare coming CCM itajikuta wana too much with too little ability to moderate anything.Yeye akiwa km moderator alipea unalimited space kujua na kuona kila kitu ...nikisema hivyo namaanisha hata wale jamaa wa taifa w akukagua sinema,wao huwa wanaruhusiwa kuangalia movie zote zikiwepo porno n awanangalia tena sana.. ili na kwa kisingizio kwamba wanaangalia km zinafaa au lah.[br]Nyerere alijua kabisa dunia inajua njia salama kabisa ya kupasua dola la kijamaa,dola lisilo na Mungu ni kuwapa watu mwanga wa kupata habari, mwanga wa kuwaonyesha upande wa pili.
Nyerere alijua kabisa kwamba USSR haikuvunjika kwa sababu mapinduzi yalitoka ndani..ila ujamaa ulioza sana kutokea ndani..hata wale waliokuwa wanalinda ujamaa walijitambua kwamba walikuwa ktk msongo mkubwa sana wa mawazo na kifungo..Yaani km askazi magereza naye ni mfungwa....mwalimu aiogopa sana kusema CCM itaoza na kutokea ndani na ikifika nje ni km mzoga uliooza.
Mwalimu ALIOGOPA SANA KUSEMA CCM ITA IMPLODE KWA VILE ANGEONEKANA KUWAUNGA MKONO ALIOWAITA MABEBERU AKAISHIA KUSEMA UJAMAA UMESHINDWA KAMA UKRISTU HALFU AKAFUNIKA ZAIDI ILI ASIONEKANE KWAMBA ALIKUWA ANAONGEA ALICHOKIONA WAKATI ANA MODERATE FIKRA ZA WATANZANIA NA KUSEMA "MAPINDUZI YA KWELI YATATOKA CCM".
Ukweli ni kwamba aliogopa kusema CCM inatoza tokea ndani
Moderator mkuu akiwa Nyerere...Nyerere alijua day sare coming CCM itajikuta wana too much with too little ability to moderate anything.Yeye akiwa km moderator alipea unalimited space kujua na kuona kila kitu ...nikisema hivyo namaanisha hata wale jamaa wa taifa w akukagua sinema,wao huwa wanaruhusiwa kuangalia movie zote zikiwepo porno n awanangalia tena sana.. ili na kwa kisingizio kwamba wanaangalia km zinafaa au lah.[br]Nyerere alijua kabisa dunia inajua njia salama kabisa ya kupasua dola la kijamaa,dola lisilo na Mungu ni kuwapa watu mwanga wa kupata habari, mwanga wa kuwaonyesha upande wa pili.
Nyerere alijua kabisa kwamba USSR haikuvunjika kwa sababu mapinduzi yalitoka ndani..ila ujamaa ulioza sana kutokea ndani..hata wale waliokuwa wanalinda ujamaa walijitambua kwamba walikuwa ktk msongo mkubwa sana wa mawazo na kifungo..Yaani km askazi magereza naye ni mfungwa....mwalimu aiogopa sana kusema CCM itaoza na kutokea ndani na ikifika nje ni km mzoga uliooza.
Mwalimu ALIOGOPA SANA KUSEMA CCM ITA IMPLODE KWA VILE ANGEONEKANA KUWAUNGA MKONO ALIOWAITA MABEBERU AKAISHIA KUSEMA UJAMAA UMESHINDWA KAMA UKRISTU HALFU AKAFUNIKA ZAIDI ILI ASIONEKANE KWAMBA ALIKUWA ANAONGEA ALICHOKIONA WAKATI ANA MODERATE FIKRA ZA WATANZANIA NA KUSEMA "MAPINDUZI YA KWELI YATATOKA CCM".
Ukweli ni kwamba aliogopa kusema CCM inatoza tokea ndani