Wanaume hawawezi kuvumilia kwasababu wanawake wanafanya kwa siri na kwa uangalifu mkubwa sana......................
Hawagunduliki kirahisi kuliko wanaume wanajisahau wengine wakilewa wanaacha sms, simu nk so mwanamke anafanya na akili zote tena kwa uangalifu kwa hiyo HAWAGUNDULIKI ............................. na kuonekana watakatifu...............(Maswali mengi hapana taka)