Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Ukisoma tamko la mwenyekiti wa chama cha kijamii Constantine Akitanda kipengele cha tano,amezungumzia suala la kufutwa kwa ruzuku zinazopewa vyama vya siasa, na ukijaribu kutazama vyama vyenyewe havizidi vitatu au sita kama kweli, lakini a millions of our kod zinakwenda kwenye vyama hivi ambavyo havina wanachama zaidi ya milioni kumi wakati nchi ina zaidi ya watu milion 45, ina maana kuna zaidi ya watu milion 30 ambao mgao huu wa ruzuku hauwagusi moja kwa moja.
Mgomo wa madaktari leo usingekuwapo kama CUF,CCM,CHADEMA na wenzenu mngesema ruzuku nooooo1 HAINA MAANA AKINA Zitto kukataa posho ya shilingi 3300000/= pale bungeni wakati chama chake kinaendeshwa kwa ruzuku ya mamilioni ya kila mwezi ambazo pia pesa hizo hutumika kumuhudumia Zitto kama naibu katibu mkuu wa chama, sikwambii akina January Makamba na Hamis wa Nzega, kwa ajili hii basi migomo ya madaktari,madai ya waalimu kuboreshewa maslahi yao.
Na hata wafanyakazi wa sekta mbalimbali za umma wasingekuwa wanalalamikia serikali kama sote kwa pamoja tungesema NOOOOOO KATIKA RUZUKU! angalia mgawanyo huu tena ni kwa mwezi tu na ujaribu kuzisambaza pesa hizi kwa watumisha na then angalia kama kungekuwa na migomo ya ajabu ajabu!
CCM.........................Tshs 800million kwa mwezi..................
Chadema.......................Tshs 200 Million kwa mwezi........................
Cuf...................................Tshs 110 kwa mwezi..................
Kama wewe ni mpenda demokrasia wa kweli,karibu Katika chama hiki kwa pamoja tupambane na ufisadi huu wa ruzuku ambayo haitusaidii kukuza demokrasia bali migogoro ya kimaslahi ndani ya vyama na ushindani usio sawa hasa kipindi cha chaguzi kwani chama kama CCM kinapata ruzuku kubwa ambayo pia hutumika kununua shahada za wapiga kura.
naomba kuwasilisha
Mgomo wa madaktari leo usingekuwapo kama CUF,CCM,CHADEMA na wenzenu mngesema ruzuku nooooo1 HAINA MAANA AKINA Zitto kukataa posho ya shilingi 3300000/= pale bungeni wakati chama chake kinaendeshwa kwa ruzuku ya mamilioni ya kila mwezi ambazo pia pesa hizo hutumika kumuhudumia Zitto kama naibu katibu mkuu wa chama, sikwambii akina January Makamba na Hamis wa Nzega, kwa ajili hii basi migomo ya madaktari,madai ya waalimu kuboreshewa maslahi yao.
Na hata wafanyakazi wa sekta mbalimbali za umma wasingekuwa wanalalamikia serikali kama sote kwa pamoja tungesema NOOOOOO KATIKA RUZUKU! angalia mgawanyo huu tena ni kwa mwezi tu na ujaribu kuzisambaza pesa hizi kwa watumisha na then angalia kama kungekuwa na migomo ya ajabu ajabu!
CCM.........................Tshs 800million kwa mwezi..................
Chadema.......................Tshs 200 Million kwa mwezi........................
Cuf...................................Tshs 110 kwa mwezi..................
Kama wewe ni mpenda demokrasia wa kweli,karibu Katika chama hiki kwa pamoja tupambane na ufisadi huu wa ruzuku ambayo haitusaidii kukuza demokrasia bali migogoro ya kimaslahi ndani ya vyama na ushindani usio sawa hasa kipindi cha chaguzi kwani chama kama CCM kinapata ruzuku kubwa ambayo pia hutumika kununua shahada za wapiga kura.
naomba kuwasilisha