King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,697
- 68,685
Mupe mupe mupee haaa hii ngoma hazibani pua its all bout music 255
its a bizzare, it has nthng to do wit ur boy, sasa siku mki Do, c utasema mengne..HAKUNA KI2 KAMA ICHO, REFORMAT UR PSYCHOLOGY SYSTEM.
Ama kweli mna-match. Sasa malizieni hatua inayofuata.
kuna arifu mmoja tulikuwa tunapiga kitu cha b'fast street jombaa kaagiza malimao na ndimu za kuzidi viwekwe kwenye chai yake nika muuliza niaje selaa? Akanijibu wife ana-bendi (mimba) aisee so si unajua tunakuwa na hamu za vitu vichachu.....inawezekana aisee??