Bado tu hujajua kwanini? Jibu ni rahisi...Kwa sababu hao wanaopatikana sana FB na IG hawapo huko Twitter. Si rahisi kumkuta mwanamke Asiyejitambua akawa anamiliki account ya twitter cos huo ni mtandao wa watu wenye "Kitu fulani kichwani" hivyo si rahis kumuingilia kichwa kichwa..hope umenipata!!