Kwanini ni muhimu kuwa na pesa?

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
78,435
Reaction score
166,891


Jumba la kifahari la muigizaji John Travolta lenye gharama ya dola milioni $10 huko Ocala, Florida si tu nyumba ya kifahari ya vyumba vitano, lakini pia ni uwanja wa ndege wa binafsi.

Nyota huyo wa Grease alijenga nyumba hiyo kwenye makazi ya kipekee ya Jumbolair Aviation Estates miaka ya 1990.

Mali hiyo inajumuisha sio tu uwanja wa ndege, lakini nafasi ya kuegesha jeti zake mbili nje ya nyumba yake na kwa dakika chache anaingia njia ya kurukia kutokea kwa mlango wa mbele mara nyingi akipaisha ndege mwenyewe.

Soma zaidi:
www.hellomagazine.com/homes/490618/john-travoltas-florida-home-also-private-airport/%3fviewas=amp
 
Mkuu pesa ni muhimu siku zote Ila njia za kupata ndo shida coz watu tumefungwa kwenye legal sana
 
Uaidanganywe..
Yesu mwenyewe alizikwa na tajiri mwenye pesa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…