Atakuwa MbwigaHao wataalamu wenyewe n hao kina dauda na fatuma liqwata
Mkuu umejishusha sana hadhi yako. Kweli ndondo cup iwe ngumu kuliko EPL au Serie A?hii imeonekana kuwa mashindano magumu zaidi kuwahi kutokea duniani,na wataalamu Wanasema kwamba ya weza kuwa magumu kushinda ligi kuu hispania,uingeleza,Italia,marekani,uholanzi na ufaransa,je wadau Kuna ukweli wowote KWENYE hili?
Nachukulia huu uzi kama utani wa mwandishihii imeonekana kuwa mashindano magumu zaidi kuwahi kutokea duniani,na wataalamu Wanasema kwamba ya weza kuwa magumu kushinda ligi kuu hispania,uingeleza,Italia,marekani,uholanzi na ufaransa,je wadau Kuna ukweli wowote KWENYE hili?
Kwani wewe huaminiKo unaamini katika ushirikina