Kwanini nayapinga makafara?

Aamin.
 
Mi naona waendelee tu... Maana ndo wanaotusaidia kwenye huduma za kijamii
 
Umeichambua vizuri mno Nazjaz
 
Kwani bila hzo kafara huwezi kufanikiwa?ipi njia sahih yakumiliki utajiri bila hzo kafara?je matajiri wote wanatoa hzo kafara?msaada pls?
Inawezekana kufanikiwa lakini mchakato ni mrefu sana na kujitoa sana hivyo wengi hupendelea short cut
 
Kwani MUNGU hajawahi kutolewa kafara?
 
Lupaya kwanza rekebisha hii kitu crip na suara, hii ni mada au topic na si crip/ clip halafu ni suala/swala na si suara
Soma mwanzo wa mada mpaka mwisho utajua nini lengo ila kama umeshindwa tangu mwanzo sijui kama utaweza ukirudia
 
Ivi kitimoto anafaa kutolewa kafara wanajamvi????maana simikiii watu wakimtaja zaidi ya mbuzi .ngamia na ng'ombe!!!
 
Mshana naomba uje na mada ya inayohusu nini hasa waganga wanafanya kumkinga mtu dhidi ya wachawi,Kinga mbalimbali na nguvu zake.

Halafu malizia kwanini mtu asitumie Kinga za waganga, thanks
 
Mshana naomba uje na mada ya inayohusu nini hasa waganga wanafanya kumkinga mtu dhidi ya wachawi,Kinga mbalimbali na nguvu zake.

Halafu malizia kwanini mtu asitumie Kinga za waganga, thanks
Nipe muda
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…