Kwanini namuelewa Magufuli kwa Manji

Kwanini namuelewa Magufuli kwa Manji

Ss unahoji mtu kushinda tenda kwani hilo ni kosa?

labda kama kuna ukiukwaji wa taratibu ama masharti/deliverable za mkataba

vinginevyo hamna mantiki

na una uhakika gani kuwa 'vyombo' havijahoji?serikali ina mkono mrefu huwezi jua
 
Sukuma Gang hawajapendezwa na swala la muwekezaji Manji kurudi kuwekeza
 
Kesi yake ni ya kodi?! Vitambaa vya jeshi viivyokamatwa kwenye maghala yake sio material yaliyobaki baada ya Magufuli kusitisha zabuni ya nguo za jeshi na kugawa kazi hiyo kwa SUMA-JKT?!

Ninachokumbuka tu ni kuwa mungu mtu wa Tanzania alikasirika sana Range ya Manji ilipooshwa na mtu kwa mapenzi yake pale Central na akaifuta vumbi kwa Bender's ya CCM!! mungu mtu akamwambia Siro kuwa "I wish I kuldu be ana igp"
Acha uongo! I wish ... yalisemwa kwa walimwimbia mapambio gwajima. Manji wafuasi wake ni Yanga!
 
Back
Top Bottom