BORALIENDE
Member
- Apr 6, 2014
- 24
- 10
Lowassa peke yake ndo ana kashfa kwny timu ya UKAWA, na kashfa zake CCM wameshindwa kututhibitishia kwa kumuwajibisha,wengine wote kuanzia babu Duni na wengine hawana mawaa na siku zote wamekuwa wakihubiri haki na kutaka katiba bora inayosimamia misingi ya utawala bora.
Itakuwa ngumu sana kwa Lowassa kuwa against hawa wenzie wote ambao wamekuwa wakipigania haki za wananchi kwa kipindi kirefu, kwa kifupi Lowassa amekuja kwny kundi la watu wenye mtizamo chanya.
Kwa upande mwingine CCM imekataa kupitisha katiba pendekezi ambayo ingekuwa ni muhimu sana kwa mustakabali wa taifa, katiba yenye uwezo wa kumfanya kiongozi yeyote atakayechukua madaraka alazimike kuwa muadilifu, CCM imechangua kuendelea na katiba dhaifu ambayo inalinda maslahi binafsi ya viongozi wa juu, hilo tu linatuthibitishia hawa jamaa wamekaa kimaslahi binafsi zaidi.
Pili chama chao kimejisahau sana, yaani CCM imekuwa kama ndo serikali, hii inawapa kujiamini kupita kiasi kiasi kwamba haiwapi presha ya kutekeleza majukumu yao kwa wananchi kwa sababu wanajua hata wakiihujumu nchi bado watapewa dhamana ya kuendelea, tukiwapiga chini watajipanga next tym watakuwa makini kama chama chao kitakuwa bado hakijafa.
Tatu tunaamini CCM akipigwa chini atakuwa kama watchman au muangalizi kwa CHADEMA akitamani CHADEMA wakosee hili wao warudi madarakani, hii itaifanya Chadema kuwa makini sana katika kuendesha serikali yao, katika hili wananchi watafaidika.
Binafsi namkubali sana Magufuli, ila nahisi yupo upande usio sahihi, Magufuli na CCM ni sawa na umchukue Lionel Messi uje umlete kwny timu ya Tukuyu stars, haiwezi kufanya vizuri.
Lowassa na chadema ni sawa na umchukue Ngassa aende akachezee Barcelona, Ngassa lazima ataimprove sana.
Itakuwa ngumu sana kwa Lowassa kuwa against hawa wenzie wote ambao wamekuwa wakipigania haki za wananchi kwa kipindi kirefu, kwa kifupi Lowassa amekuja kwny kundi la watu wenye mtizamo chanya.
Kwa upande mwingine CCM imekataa kupitisha katiba pendekezi ambayo ingekuwa ni muhimu sana kwa mustakabali wa taifa, katiba yenye uwezo wa kumfanya kiongozi yeyote atakayechukua madaraka alazimike kuwa muadilifu, CCM imechangua kuendelea na katiba dhaifu ambayo inalinda maslahi binafsi ya viongozi wa juu, hilo tu linatuthibitishia hawa jamaa wamekaa kimaslahi binafsi zaidi.
Pili chama chao kimejisahau sana, yaani CCM imekuwa kama ndo serikali, hii inawapa kujiamini kupita kiasi kiasi kwamba haiwapi presha ya kutekeleza majukumu yao kwa wananchi kwa sababu wanajua hata wakiihujumu nchi bado watapewa dhamana ya kuendelea, tukiwapiga chini watajipanga next tym watakuwa makini kama chama chao kitakuwa bado hakijafa.
Tatu tunaamini CCM akipigwa chini atakuwa kama watchman au muangalizi kwa CHADEMA akitamani CHADEMA wakosee hili wao warudi madarakani, hii itaifanya Chadema kuwa makini sana katika kuendesha serikali yao, katika hili wananchi watafaidika.
Binafsi namkubali sana Magufuli, ila nahisi yupo upande usio sahihi, Magufuli na CCM ni sawa na umchukue Lionel Messi uje umlete kwny timu ya Tukuyu stars, haiwezi kufanya vizuri.
Lowassa na chadema ni sawa na umchukue Ngassa aende akachezee Barcelona, Ngassa lazima ataimprove sana.