Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,352
- 7,662
- Thread starter
- #21
I dont think soNi utoto tu
I dont think soNi utoto tu
Well said mkuuWakuu,mnachopaswa kukielewa ni kuwa;
Kuna binadamu kutongoza kwao huwa ni starehe japo mtongozwaji akikubali anaweza kuliwa na htaji kubwa la watu hawa ni kutongoza kukataa au kukubali kwa mwanamke/wanawake huwa wao wanachukulia kama ni matokeo tu!
Share elimu yako ya jinsi ya kutongoza sasa,,
...

Keep on.The world needs people like you too.
Kuna mdada alikuwa depressed kwakutokutongozwa for almost a year.So endelea tu.Kati ya unaowatongoza kuna unaowapa furaha na confidence.
On the other side of the coin,Imagine mwanamke anayejipendekeza na kuomba namba za wanaume.Lazima atakuwa portrayed Kama Malaya.
So na wewe too much of what you are doing ni umalaya tu.Haujali reputation yako at all.
So,tongoza wanawake ndio.Ila acha sifa za kitoto.Be smart.Wanaume unaowahadithia upuuzi wako,ndio haohao utakuja kuwatambulisha your future wife to.They can use what they know about you against you anytime they want.Be a smart man.
.Ujue ulianza vizuri hadi ukanivutia kuja inbobo umeharibu kuanzia hapo umenikata maini.
![]()
.



Ila ndo hivyo Hamna kitu hapa duniani kizuri 100%.Kila tufanyalo kina consequence nzuri na mbaya.
Inapendeza zaidi kuangalia both sides of the coin katika vitu tufanyavyo.
kupima ukimwi wakati unajua hakuna dawa ni ujinga kama ujinga mwinginee maishaniii!🙂🙂Umepima UKIMWI kabla hiyo fun haijawa funny?
Of course.Hakuna kisicho na kasoro.Hata wewe??