Kwanini naenjoy sana kutongoza wanawake?

Kwanini naenjoy sana kutongoza wanawake?

Amicus Curiae

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2012
Posts
5,352
Reaction score
7,662
Jmn this is very serious...

Nimekua naenjoy sana kutongoza wanawake, popote pale nikikutana na mtoto wa kike akanivutia lzm nimchombeze, nichukue no ya simu, at last nimtongoze...

Kibaya zaidi ni kwamba mm huwa natongoza for fun ila karibu wote ninaowapiga sound huwa wananikubali!

Imefikia hatua phonebook yangu imejaa no za mabinti kibao hlf wengi wao wamenikubali ingawa sio wote wanaonikubali huwa natembea nao, kwa kifupi huwa napata tu raha kutongoza!

Imagine juzi wkt nipo tigoshop akaingia dada mmoja mrefu mwenye rangi ya udhurungi, umbo no 8, sura ya duara, kwa kifupi alikua mlimbende balaa, kila mtu hadi wahudumu wa tigoshop wakaanza kumkodolea, kama kawaida yangu nikamsogelea, nikaanza kuuza maneno mwisho wa siku akanipa no, sijamtongoza bado ila nafarijika tu kuwa na no yake lkn nitamtongoza anytime from now (Hata kama yupo humu wala sijali, akinikataa ndo atakua kanipunguzia idadi ya walio kwenye list)

Kuna rfk yangu mmoja kanitisha kwa kuniambia huenda nina tatizo ingawa mm naona kawaida. Mara kadhaa nikiambatana nae huwa namsababishia usumbufu kwa either kumsubirisha au kubadilisha route kbs nikiwa namfuatilia mwanamke!

Hili linaweza kuwa tatizo serious?
 
Kuwa mwangalifu usije ukatongoza dada zako wa damu kwakuwa kwa maelezo yako yaonekana unachojali ww ni ile tu kwamba ilimradi mwanamke ana lile tundu bas
 
Keep on.The world needs people like you too.
Kuna mdada alikuwa depressed kwakutokutongozwa for almost a year.So endelea tu.Kati ya unaowatongoza kuna unaowapa furaha na confidence.
On the other side of the coin,Imagine mwanamke anayejipendekeza na kuomba namba za wanaume.Lazima atakuwa portrayed Kama Malaya.
So na wewe too much of what you are doing ni umalaya tu.Haujali reputation yako at all.
So,tongoza wanawake ndio.Ila acha sifa za kitoto.Be smart.Wanaume unaowahadithia upuuzi wako,ndio haohao utakuja kuwatambulisha your future wife to.They can use what they know about you against you anytime they want.Be a smart man.
 
Uko vzr, ila, umefanya kosa kusema hapa ukumbini. Ki kawaida wanawake hawawezi kusema juu ya wanavyojisikia kimahusiano. Kisaikolojia ukikaa nae muda mrefu bila kumwambia kapendeza, cute, amazing smile, na maneno mengine kama hayo pamoja na kuonyesha unamwitaji hupata inferiority complex. Siku nyingine usiseme, unaweza ukakosa mke
 
Umepima UKIMWI kabla hiyo fun haijawa funny?
 
Keep on.The world needs people like you too.
Kuna mdada alikuwa depressed kwakutokutongozwa for almost a year.So endelea tu.Kati ya unaowatongoza kuna unaowapa furaha na confidence.
On the other side of the coin,Imagine mwanamke anayejipendekeza na kuomba namba za wanaume.Lazima atakuwa portrayed Kama Malaya.
So na wewe too much of what you are doing ni umalaya tu.Haujali reputation yako at all.
So,tongoza wanawake ndio.Ila acha sifa za kitoto.Be smart.Wanaume unaowahadithia upuuzi wako,ndio haohao utakuja kuwatambulisha your future wife to.They can use what they know about you against you anytime they want.Be a smart man.
Wow,contentful message
 
Wakuu,mnachopaswa kukielewa ni kuwa;
Kuna binadamu kutongoza kwao huwa ni starehe japo mtongozwaji akikubali anaweza kuliwa na htaji kubwa la watu hawa ni kutongoza kukataa au kukubali kwa mwanamke/wanawake huwa wao wanachukulia kama ni matokeo tu!
 
Uko vzr, ila, umefanya kosa kusema hapa ukumbini. Ki kawaida wanawake hawawezi kusema juu ya wanavyojisikia kimahusiano. Kisaikolojia ukikaa nae muda mrefu bila kumwambia kapendeza, cute, amazing smile, na maneno mengine kama hayo pamoja na kuonyesha unamwitaji hupata inferiority complex. Siku nyingine usiseme, unaweza ukakosa mke
Hahahha noted mkuu
 
Back
Top Bottom