Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,352
- 7,662
Jmn this is very serious...
Nimekua naenjoy sana kutongoza wanawake, popote pale nikikutana na mtoto wa kike akanivutia lzm nimchombeze, nichukue no ya simu, at last nimtongoze...
Kibaya zaidi ni kwamba mm huwa natongoza for fun ila karibu wote ninaowapiga sound huwa wananikubali!
Imefikia hatua phonebook yangu imejaa no za mabinti kibao hlf wengi wao wamenikubali ingawa sio wote wanaonikubali huwa natembea nao, kwa kifupi huwa napata tu raha kutongoza!
Imagine juzi wkt nipo tigoshop akaingia dada mmoja mrefu mwenye rangi ya udhurungi, umbo no 8, sura ya duara, kwa kifupi alikua mlimbende balaa, kila mtu hadi wahudumu wa tigoshop wakaanza kumkodolea, kama kawaida yangu nikamsogelea, nikaanza kuuza maneno mwisho wa siku akanipa no, sijamtongoza bado ila nafarijika tu kuwa na no yake lkn nitamtongoza anytime from now (Hata kama yupo humu wala sijali, akinikataa ndo atakua kanipunguzia idadi ya walio kwenye list)
Kuna rfk yangu mmoja kanitisha kwa kuniambia huenda nina tatizo ingawa mm naona kawaida. Mara kadhaa nikiambatana nae huwa namsababishia usumbufu kwa either kumsubirisha au kubadilisha route kbs nikiwa namfuatilia mwanamke!
Hili linaweza kuwa tatizo serious?
Nimekua naenjoy sana kutongoza wanawake, popote pale nikikutana na mtoto wa kike akanivutia lzm nimchombeze, nichukue no ya simu, at last nimtongoze...
Kibaya zaidi ni kwamba mm huwa natongoza for fun ila karibu wote ninaowapiga sound huwa wananikubali!
Imefikia hatua phonebook yangu imejaa no za mabinti kibao hlf wengi wao wamenikubali ingawa sio wote wanaonikubali huwa natembea nao, kwa kifupi huwa napata tu raha kutongoza!
Imagine juzi wkt nipo tigoshop akaingia dada mmoja mrefu mwenye rangi ya udhurungi, umbo no 8, sura ya duara, kwa kifupi alikua mlimbende balaa, kila mtu hadi wahudumu wa tigoshop wakaanza kumkodolea, kama kawaida yangu nikamsogelea, nikaanza kuuza maneno mwisho wa siku akanipa no, sijamtongoza bado ila nafarijika tu kuwa na no yake lkn nitamtongoza anytime from now (Hata kama yupo humu wala sijali, akinikataa ndo atakua kanipunguzia idadi ya walio kwenye list)
Kuna rfk yangu mmoja kanitisha kwa kuniambia huenda nina tatizo ingawa mm naona kawaida. Mara kadhaa nikiambatana nae huwa namsababishia usumbufu kwa either kumsubirisha au kubadilisha route kbs nikiwa namfuatilia mwanamke!
Hili linaweza kuwa tatizo serious?