Kwanini Mwl Nyerere anazidi kusahaulika?

Vijana wa singeli ndio wamemsahau but sisi wazalendo tunamkumbuka haswa wakati huu ambao hakuna hata kiongozi anayeweza anayeweza kufikia robo ya Nyerere

Cc Mwinyi, Warioba,
Chna wanamkumbuka mao hata wasiomuona.kumuona sio hoja legacy aliyoiacha sio yenye kufanya kukumbukwa sana. Atakumbukwa kwa kiasi chake kwa mazuri aliyoyafanya
 
Hakuacha misingi thabiti ya kukumbukwa ametuachia katiba mbovu na mfumo mbovu wa kiuongozi ambao kila kiongozi anajiona yeye ndio mwenye haki ya kuamua kila kitu na hatakiwi kukosolewa .
Hapa pana Ukweli zaidi, mengi tuyaonayo ni matokeo ya baadhi ya Sera zake za Ujima.
 
Vijana wa singeli ndio wamemsahau but sisi wazalendo tunamkumbuka haswa wakati huu ambao hakuna hata kiongozi anayeweza anayeweza kufikia robo ya Nyerere

Cc Mwinyi, Warioba,

Mnamkumbuka kwasababu aliwasomesha bure kuanzia Chekechea mpaka chuo kikuu.

Lakini kwa kizazi hiki si rahisi na wengi hawaijui hata Historia yake achilia mbali kushughulika naye.
 
Wakuu Habari,

Ikiwa leo ni siku ya kumbukumbu ya kifo cha mmoja wa waasisi wa Taifa hili Mwl J.K Nyerere, Nimejiuliza kwanini kadri siku ziendavyo ndivyo anavyozidi kusahaulika kwani sioni kama akizungumzwa sana kama miaka ya nyuma siku kama ya leo kunakuwa na mijadala Mbalimbali kuanzia mtaani mpaka kwenye mitandao na kwenye vyombo vya habari.

Je tumempuuza? na kuifanya siku hii kuwa ya Kuzima mwenge?

Je tumeona urithi wake aliotuachia hauna tena mashiko kwa kizazi hiki?



View attachment 417699
iliamuliwa isahaulike purposely kwa kuchanganya namambo ya kuxima mwenge. mbio a mwenge xifutwe. tuendelee muenxi baba yetu wa taifa
 
Kuna sehemu yoyote kuna hata maandamano kweli kwa ajiri ya siku ya leo? mikoani kuna kilichoandaliwa kumuenzi baba wa Taifa? Kila mkoa una chuo huria sahivi, ni vitu gani vimeandaliwa na vyuo hivyo ili kila mahala Watanzania wakashiriki midaharo? pale Butihama/Dodoma ni kitu gani cha nje ( uwanjani) kimeandaliwa ili wananchi washiriki?

Sasa kama tunasema kumuenzi Mwl.Nyerere na haya hayajaonekana kuandaliwa hiki ni kitu gani?
 
Hapa pana Ukweli zaidi, mengi tuyaonayo ni matokeo ya baadhi ya Sera zake za Ujima.
Wakuu Habari,

Ikiwa leo ni siku ya kumbukumbu ya kifo cha mmoja wa waasisi wa Taifa hili Mwl J.K Nyerere, Nimejiuliza kwanini kadri siku ziendavyo ndivyo anavyozidi kusahaulika kwani sioni kama akizungumzwa sana kama miaka ya nyuma siku kama ya leo kunakuwa na mijadala Mbalimbali kuanzia mtaani mpaka kwenye mitandao na kwenye vyombo vya habari.

Je tumempuuza? na kuifanya siku hii kuwa ya Kuzima mwenge?

Je tumeona urithi wake aliotuachia hauna tena mashiko kwa kizazi hiki?



View attachment 417699

Binafsi namkumbuka kwa haya

1) Siasa ya UJAMAA NA KUJITEGEMEA

2) Mfumo wa CHAMA KIMOJA cha siasa

3) Kutokuwepo uhuru wa vyombo vya habari na kudhibiti habari

4) Kuwaweka watu kizuizini au jera bila kuwafikisha mahakamani

5) KUTAIFISHA au KUPORA mali za watu (dhambi inatutafuna hadi leo)

6) Ofisi za matawi ya chama kuwa kama police post au mahakama

7) Chama mahali pa kazi kuwa na sauti kubwa kwenye vikao vya bodi za wakurugenzi

8) Kuwepo kwa mawaziri wasiokuwa na wizara

9) Mashirika na viwanda vya umma kupata ruzuku toka serikalini

10) Kuwa nchi pekee afrika mashariki kutoruhusiwa TV

11) Kuwahamisha au kuwapandisha vyeo walioua mashirika na viwanda vya umma kwa ufisadi

12) Bidhaa kama sukari,unga wa ngano, bati kuuzwa kwa kibali cha mkuu wa mkoa

13) Waliofeli darasa la saba kuwa walimu

14) Kuwa na katiba ya nchi isiyotokana na maoni ya wananchi

15) Operation vijiji aka “S O G E Z A”

n.k…. n.k
 
Badala nimkumbuke bakhilesa anaye tengeneza mandazi et nianze kumkumbuka baba wataifa.nimkumbuke wakati sjala toka juzi napigazangu hesabu nipate hata azam cola ya hero.et nimkumbuke huyo jamaa wann sasa anisaidie nini sasa.
 
Back
Top Bottom