Kwanini Mwigulu aagize kanisa la askofu Gwajima lifunguliwe?

Kwanini Mwigulu aagize kanisa la askofu Gwajima lifunguliwe?

Joined
May 23, 2022
Posts
92
Reaction score
339
Ikiwa serikali inaamini kuwa kanisa la askofu Gwajima walikuwa na kosa why walifungulie kanisa hilo?

Hili sio suala la “favor” isipokuwa ni kukandamizwa kwa uhuru wa kuabudu kulikofanywa na waliozuia huduma za kanisa hilo kuendelea wakati ule.

Ukandamizaji ulifanywa na sasa wanarudishiwa pawa kama favor ilhali ni haki waumini wale kuabudu na ni UKANDAMIZAJI ulifanyika kuzuia wasiabudu.
 
Serikali tangu mwanzo walikosea.
Wakufungiwa ni Gwajima na sio kanisa.

Sasa wamefungulia kanisa.
Ila Gwajima bado ana kesi ya kujibu.

Na ndio walitakiwa wafanye tangu mwanzo.

Sasa wamerekebisha . Ila Bado unasema kwanini?.
Dah wa TZ sisi.
 
Kwani serikali ililifungia? Si walikataa hawa kuwa halijafungiwa.
 
Wanapunguza Tension kidogo Nchi ipungue, Washajua Walifanya kosa sana kuya Under Estimate makanisa zaidi ya 2000 Tanzania
 
Ni mtego huo gwaji boy asijipeleke atapotea mazima
 
Ikiwa serikali inaamini kuwa kanisa la askofu Gwajima walikuwa na kosa why walifungulie kanisa hilo?

Hili sio suala la “favor” isipokuwa ni kukandamizwa kwa uhuru wa kuabudu kulikofanywa na waliozuia huduma za kanisa hilo kuendelea wakati ule.

Ukandamizaji ulifanywa na sasa wanarudishiwa pawa kama favor ilhali ni haki waumini wale kuabudu na ni UKANDAMIZAJI ulifanyika kuzuia wasiabudu.
Wanajitahidi kupunguza nguvu za D9
 
Serikali tangu mwanzo walikosea.
Wakufungiwa ni Gwajima na sio kanisa.

Sasa wamefungulia kanisa.
Ila Gwajima bado ana kesi ya kujibu.

Na ndio walitakiwa wafanye tangu mwanzo.

Sasa wamerekebisha . Ila Bado unasema kwanini?.
Dah wa TZ sisi.
Kosa la gwajima ni lipi, taja sentensi moja ya kumfanya awe na makosa tukupe mamia ya sentensi walizosema wengine na bado makanisa ama misikiti yao haijafungiwa
 
  • Thanks
Reactions: I M
Back
Top Bottom